Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Agosti, 2022

ROHO YA KUZIMU SEHEMU YA 1

Picha
STORY:-ROHO YA KUZIMU PAGE YA:-1 MWANDISHI:-AMANI KUYELA Karibu sana katika mfululizo mpya wa simulizi hii iliyojaa mpangilio wa mikasa na matukio ya kutisha katika ulimwengu wa roho, kwa wanao amini uwepo wa ulimwengu huu basi nakuja kukujuza elimu dunia katika mtindo wa sanaa ya fasihi andishi nakusafirisha hadi ndani ya ulimwengu huu wa roho kujulikanako kama kuzimu usioweza kuonekana kwa macho ya kawaida ya kibinadamu. Naam, ambatana nami mwandishi wako AMANI KUYELA niweze kukusogezea yale usiyoyaona katika hadithi zingine, story ndo kwanza bado mbichi kabisaa. Baada ya utangulizi huo, sasa twende mzigoni. Ikiwa ni siku nzuri sana ya al hamisi, katika mitaa ya soko kuu la manispaa ya kahama mjini anaonekana mwanadada akiwa amevalia mtoko maridadi kabisa. Mwanadada huyo aliyepanda hewani futi kadhaa zenye ujazo huku umbo lake likiwa lakuvutia lenye muundo wa aina yake, na sura yake ikiwa ni ya kumvuta bwana shitete kutoka huko pangoni, mwanadada huyo akiwa na mchanganyiko wa udongo...

MGENI KUTOKA MJINI SEHEMU YA 2

Picha
SIMULIZI......MGENI KUTOKA MJINI MTUNZI.........SHAX GOLD NO..........002 Basi mzee mrisho na jeydan waliondoka uku wakiwa wanacheka ila juma akuwa sikia lakini alivyo tazama barabarani kwenye icho kinjia kidogo tu alimuona mtu akiwa amevaa kimjini mjini kabisa yani zilikuwa pigo za kisasa akiri ili mtuma kuwa yule ndio alie mfukuzia ndege wake. Basi jeydan walifika adi kwa mzee nyange wakaomba ifadhi mzee nyange nae akuwa wanyima akawa wa kubalia mara kidogo aliingia juma mbavu uku akiwa amekasirika vibaya kwa kumkosa devota kwa stahili kama ile alivyo angalia pale kwao alimuona yule mgeni alievaa kimjini mjini ambae ni jeydan akiwa amekaa na babu yake kwenye beanch alafu baba yake mzee nyange akiwa amekaa kwenye kiti cha mbao apo chini ya mti. “Afadhali nilivyo kuona baba angu kwema kwanza uko utokako...?” mzee mrisho alimuuliza juma mbavu alie kunja uso mda uwo kama vile kajambiwa na dondola. ”Kwema baba, shikamoo...” juma mbavu alisalimia uku ana mkata jicho jeydan la kushari shar...

MPENZI CLARA EPISODE 8

Picha
MPÉNZÎ CLÁRÄ EPISODE (08) ✓ !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! ILIPOISHIA .................... (DELVICK- aaah!!! jamaa sasa wote si tumekaa hapa alafu unaniuliza sema juice ume piga fundo moja tu umemaliza yote inaoneka ulikua una kiu sana kaka Ahahahah!!! Alicheka sana !!!!! ENDELEA NAYO SASA !!!!! sasa wakati mshikaji ana nicheka huku akiangalia juu ile anakuja kuludisha macho kwenye plate yake ana kuta birian hakuna (Heeeeeh!!!) aliongea (Delvick) kwa mshangao kidogo oya kaka kwani chakula changu hapa amechukua nani? Aliniuliza huku akiangalia huku na kule (Ahahahah!!! bro sasa unamuuliza nani na wakati wote tumekaa hapa hapa iyo tayari wamechukua wa kulungwa aseh ahahahah!!! nilimjibu huku nikicheka sana (Delvick- oya sikia JOH yani kama awo majini wako sijui ndo mashetani wako sasa naona wanaingia pabaya mimi sio wewe sasa ngoja niwaonyeshe ukenge oya nyie vibwengo mlio kula birian yangu hapa fanyeni haraka mludishe chakula changu alafu kama kweli nyie miamba basi tokezeni ili tuonyeshane...

ZOMBI WA DAR EPISODE 7

Picha
ZOMBI WA DAR ABEKUKA FILM EPISODE YA 07 «LEO ZOMBI KAONGEA» TULIISHIA HAPA.... "Suzi nenda tutakutana baadae.." Mr hance alimwambia yule binti aliye kaa nae baada ya kumuona linah amefika pale hotelini. Suzi alisimama mezani akambusu Mr hance mdomoni na kuondoka. Linah akafika pale na kukaa kile kiti alichotaka suzi. "Samahani bosi kwa usumbufu..' "Ongea haraka kilicho kuleta hapa.."aliongea Mr hance akiwa ameshika grass ya maji anataka anywe. "Bosi ni kwamba.." Ni kwamba nini ebu ongea haraka?.." "Rajah hajafa ni mzima.." aliongea Linah Mr hance akadondodha grass ya maji. ENDELEA.... "linah umesemaje?.." "Bosi nimemuona rajah kwa macho yangu mawili hajafa!.."aliongea linah kwa wenge Sana "Umemuona wapi wakati ni marehemu yule? ." " Alikuja ofisini inaonekana anakaa nyumba moja na same maana same alisema yule Ni mdogo wake amemtoa Kijijini lakini yule ni rajah bosi.." "Tuliza ma...

SAA ZA MWISHO EPISODE 7

Picha
SAA ZA MWISHO Ep 7 S.P.Owino Alipiga yowe kumuita mmewake arudi, Lakini mmewake akiendelea kunisogelea yule dada hakugundua kwamba pale chini zilikuwepo nyayo zaidi ya Mti mmoja! Alizidikumuita. Mkewake alishuka kwenye gari ili kumfuata mmewake, alipo mkaribia mmewake pia alikua amesha mfikia yule dada alimshika mkono ghafla yule dada alisimama watoto walikua wakichungulia kwenye kioo cha gari. Sas chaajabu wanamuongelesha wakimuuliza kuhusu njia yakuelekea kijijini, lakini hajibu, ndipo anapoamua kusogea mbele yake ili amtazame anakuta kumbe huyu dada amelala hajafumbua macho! Sasa kipi kinachomuongoza njia nzima, ndipo wakaamua kumuacha aendelee na Safari yake, nipo mke anamuonyesha nyayo pale chini zinazo ambatana na dada huyo. Inaonekana miguu ya watoto watuwazima miguu mingi Sana lakini watu hawaonekani anaonekana tu huyo dada "Mimi nahisi huyu atakua yule Alie potea kule kijijini" HOSPITALI:. Mimi huku hospitali haliyangu ilikua nzuri nikua niliota jua mdaule, dada ali...

SHAIDA SEHEMU YA 10 MWISHO

Picha
SHAIDA: NO 10 "Eddy anakutaka kimapenzi? " swali la Sharif liliulaluwa moyo wa Shaida na kushindwa kujibu. "Nimeona alivyokuvutia chumbani kwake, na wewe ulionekana kukataa em niweke wazi usinifiche maana unajuwa nakupenda na sihitaji Lolote mbaya likukumbe" "Sharif... " Shaida alishindwa kuongea akaishia kulitaja jina lake. "Don't worry, Hakuna kitakachotokea kwako. Kuja kwangu hapa si kwasababu ya mtu yeyote hapa.... Ni kwa ajili yako so! Niambie" "Sharif ni marefu naomba niache tu" "Yatakuwa marefu kiasi gani au yatachukuwa wiki ukiwa bado unanielezea? Nimeshakwambia I love you shaida. Nahitaji kuishi na wewe Shaida, ko sipendi kuona ukinyanyasika humu ndani na bwana shemeji" "Naomba basi njoo kesho ntakwambia ukweli" "Unaniahidi? " "Nakuahidi" Sharif alimtakia usiku mwema, kisha akaondoka. Shaida aliangua kilio ukija kuangalia yeye bado mdogo, na mambo anayoyapitia yapo juu ya uwezo wake, ...

MGENI KUTOKA MJINI SEHEMU YA 1

Picha
SIMULIZI:MGENI KUTOKA MJINI MTUNZI:SHAX GOLD NO :.001 Simulizi yetu ina anzia morogoro katika kituo kidogo cha mabasi alishuka bwana mdogo mmoja wa kama miaka 23 ivi alishuka kwenye basi uku mgongoni akiwa kavalia begi lake la nguo tu kama yale ya wanafunzi wa shule ali tazama mbele akamuona dereva wa boda boda akiwa amepaki boda boda kivulini na yeye akiwa amelala kwenye gogo. “Daaaaaah!! Yani watu wanatoka kijijini wana enda mjini kuta futa maisha mimi natoka mjini nakuja kijijini kuta futa ama kweli..” Bwana mdogo uyo alijisonya mwenyewe pale Kisha akaenda adi pale Alipo kuwa yule dereva wa boda boda kisha aka muelekeza mpaka anapo taka kwenda basi wali tembea kama nusu saa ivi wakawa wamefika kisha bwana mdogo alizamisha mkono wake mfukoni na kumpa yule dereva wa boda boda hela yake akawa sasa ana tazama wapi pa kwenda. “Sasa nyumba yenyewe ndo ipo wapi.? Maana kitambo Sana daah!!!” Wakati bwana mdogo ana jiuliza maswali bila ya majibu kumbe kwa nyuma yake alikuwepo mama wa kama m...

SAA ZA MWISHO EPISODE 6

Picha
SAA ZA MWISHO EP 6 S.P Owino Hii nisiku ya nne katika familia yangu hakuna Alie fahamu kwamba ifikapo siku ya tano, kwamujibu wa yule nesi anae nitokea usiku nitafariki! Niliamka asubuhi sikuhi nilikua nauwezo wa kutembea hivyo niliwaomba madaktari waniruhusu niweze kutoka nje! Lakini nilikumbuka sharti alilo nipa yule nesi! Kwamba sitakiwi kuuvuka lango wa hospitali! Waaaa! Nilijisikia raha Sana nipo nje namwanga wajua ulikua mzuri asubuhi ile nilitamani kuishi nje, kwakweli haliyahewa ilikua nzuri. Niliamini Yale yote niliyo ambiwa na yule nesi yalikua uongo! Niliona Kama ndoto tu! Ilikua furaha kwangu machozi ya furaha yalinitoka nikikumbuka hata ugonjwa niliokua nikiugua walipo upima haukupatikana! Nilitamani niondoke pale hospitali mdaule! Kuna familia moja ilikua ipo ndani ya gari ilionekana ikielekea kule kijijini, ilionekana Kama familia yakitajiri ndani ya gari alikuwepo alieonekana Kama baba wa familia mama watoto wa wili pamoja na dereva, wakati wapo jiani Yale mazingira yal...

MPENZI CLARA EPISODE 7

Picha
MPÉNZĪ CLĀRÁ EPISODE (07) ✓ !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! ILIPOISHIA ::::::::::::::::::: nikaona labla ni wenge langu tu nikaweka pozi tena sasa round hii sijui alikuja mama yake yule maana kalikua ni kabibi sana ila nilipo geuka kucheki sikuweza muona mtu nikajua tu sasa hapa kumekucha tena maana wakulungwa nao wanataka wauze sura kwenye camera nilisimama na kuanza kusepa modogo mdogo kama kinyonga :::::ENDELEA NAYO SASA ::::: nilitembea kama hatua 3 hivi mala nikasikia sauti wewe kijana una kwenda wapi?! ilikua ni sauti ya bibi kizee yani hata matamshi yake yalikua yana toka kwa kubabaika nilishtuka kidogo kisha nikasimama ila nikaona nikiendelea kusimama pale itakua jau nikaendelea kutembea sasa ile nakilibia kwenye mlango mala naona kono likapita na kwenda kufunga ule mlango kisha likatoka na funguo heeeh!! jamani!! niliongea kwa mshangao sana niligeuka nyuma nikakiona kile kibibi kimesimama tu etiiih kina nichekea chekea anha kwaiyo leo ndo wamekuma wewe au sio alafu jamani mbona mnapen...

JUNE 17 EPISODE 7 MWISHO

Picha
JUNE 17 EP 7 Final S.P. Owino Judi alifumbua mdomo wake akawaambia Askari twende nikawaonyeshe hao watoto! Mchungaji alifurahi kwani Sasa Judi anaweza kuongea japo mdomo umejaa dam kwa vidonda. Askari wengine walionywa wasitoe taarifa yoyote kuhusu watoto walio potea, kwani uchunguzi bado iwapo wale wazazi watarudi!! Waliingia ndani ya gari wakaanza Safari kuelekea tukio lilipo tokea Yani anapoishi Judi, Safari ilikua ndefu kidogo. Ilikua saa 6:12 mchana Hatimae walifika Judi alishushwa lakini getini alienda kugonga askari, hodi! Hodi! Baada ya mda kidogo mzee Mathias alifungua mlango Judi akiwa kwenye gari alimuona mzee yule, roho ilimuuma kwani alihisi anawasababishia matatizo! Askari walitengeneza mchezo wakidai wamemuokota Judi akiwa katika hali mbaya na amesema hapa ndo kwao, hivyo wanahitaji kuingia kukagua yawezekana yapo mazingira yalio mchochea yeye kuondoka nyumbani. Mzee Mathias alikua haelewi chochote aliwaruhusu waingie, Ila alishangaa alipo muona Judi yupo katika hali mba...

SHAIDA SEHEMU YA 9

Picha
SHAIDA: NO 09 "Ndio madame, eti umeniita" "Shaida I'm sorry kwa hili, kiukweli naanza kuona tatizo kwenye ndoa yangu. Eddy anamapenzi ya dhati na mwanao mpaka nashindwa kuelewa, na si yeye tu Bali sote kwa ujumla tunampenda mwanao Sana.... Siku Ile tumegombana na Eddy kwasababu ya Umy na kuna maneno aliongea nikaona hakupendezwa wewe kuishi humu ndani bila kufanya kazi. Tafadhali nimeshaongea na Sharif, nataka nikupe hela, kuna nyumba nzuri Sharif amekutafutia kwa ajili ya kuishi wewe na Umy. Na ntakupatia pesa kwa ajili ya mtaji, si kusema undugu wetu utaishia hapa, Hapana! wewe ni zaidi ya ndugu kwangu, tutakuwa tukitembeleana na tutazidi kusaidiana, ambacho nahitaji kukiepusha hapa ni hii ya kila mtu ndani anachanganyikiwa kuhusu mtoto. Na Mimi hapa mjamzito. Naomba tafadhali nielewe mpenzi" maneno ya Anita yalimuingia Shaida ikambidi kukubali. "Usijali dada Anita, naelewa tena naelewa sana, pia hongera kwa ujauzito" Anita alivuta pochi yake na kut...

ZOMBI WA DAR EPISODE 6

Picha
ZOMBI WA DAR ABELUKA FILM (sika) EPISODE 06 > TULIISHIA.... Mala ya mwisho tuliona Kuna ugeni mpya umeingia ndani ya kampuni ya mr hance. Wafanya kazi wote walibaki wameduaha haswahaswa linah alionekana kushangazwa zaidi baada ya kuona ule ugeni.enjoy alikuwa amesimama karibu zaidi na huyo mgeni na yeye akiwa ameshangazwa. "Ayaaa huyu jamaa nilimwambia abaki nyumbani ona Sasa alichokifanya!!.." same aliongea bila kusikika pale kwenye meza yake ya kazi akiwa ameshika kichwa TUENDELEE... "we ni Nani na mbona umejipaka maunga usoni?.." aliuliza enjoy Ila zombi hakujibu alipeleka macho yake mpaka kwenye meza ya same. "Huyu mtu ni chizi jamani mbona simuelewi kajipa kapaka maunga uso mzima Kama mtoto namuuliza hanijibu!. Walinziiiiiii...." Aliongea enjoy alafu akaita security. "Enjoy subiri huyu ni mdogo wangu niliye mficha siku ile, anamatatizi ya akili kidogo ..." Aliongea same akiwa anasimama kwenye kiti chake na kuanza kutembea kuelekea mlango...