Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Novemba, 2021

SIKUSTAHILI SEHEMU YA 17

Picha
“ SIKUSTAHILI” Na:Anold Machavo Mbeya—Tanzania Sehemu ipatayo ya 17 ★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★ ««Ilipokomea... Kuonana naye ilikuwa ni mpaka kazini tuu na kwa kuwa ulikuwa ni wakati wa kazi hawakuweza kuwa jirani zaidi kuhofia kupunguza ufanisi katika utendaji kazi. Baada ya siku kadhaa Cara alishawishiwa na rafiki zake kutomuacha kijana mwenye muonekano na tabia zinazomkosha, Cara alikuja na mbinu ndogo yenye ujanja zaidi. Alithibitisha kuwa Edison ni ndege mjanja anakwenda kunaswa katika tundu bovu... TEREMKA NAYO...»» Siku mojawapo Edison alipokuwa dukani akiendelea na kazi ya kuwaonyesha nguo mpya kwa wateja wa jumla. Kwa bahati nzuri au mbaya siku hiyo alikuwa na mambo mengi hali iliyomfanya akasahau simu yake mezani katika chumba chake kule. Wateja walikuwa wengi na walihitaji muda mrefu kiasi ili kuchagua aina zote watakazozipenda na kuhitaji kununua. Edison akisaidiana na Issa pamoja na Mariam kwa zile za kike walihakikisha kila mteja anakamilisha mahitaji yake pale siyo nusunusu y...

RAFIKI SEHEMU YA 7

Picha
SIMULIZI : RAFIKI MTUNZI : MADAM YUSTAR SEHEMU YA SABA Tuendeleee... Nilishanga sana kitendo cha mimi na Viviani kuitwa , wakati nilitambua kabsa mwenye makosa ni mimi peke angu. Viviani aliweza kuniambia niwe na ujasiri kwani hii kesi ni ngumu pia inaweza kuwa rahisi kama nikimwamini Muumba wangu. Mda tulipewa wa kwenda kwenye ofsi ya nidhamu uliwadia, nilienda kwenye ofsi ya nidhamu nikiwa pamoja na Vivani. Tulivyofika kila mmoja alitoa heshima kea viongozi wetu , walianza kutuangalia kwa zamu kama vile walikuwa wakitujadili kwa macho. Baada ya kimya cha dakika tano mmoja wao aliweza kuongea. "Binti mcheza video za kikorea pamoja na msambazaji wake" wote walikuwepo pale walicheka. "Fetty.. Tumekuita hapa uweze kutuelezea sababu za wewe kuamua kutuchafulia chuo chetu? Ulishindwa kuficha makucha yako hadi yameekwa hadharani? Mbona watoto wa sikuizo hamuuogopi laana? Ulivyo hata hifananii na ulichokifanya, hufananii kabsa mdogo wangu" "Ukw..ee..eeli" ni...

SIKUTEGEMEA SEHEMU YA 7

Picha
SIMULIZI : SIKUTEGEMEA MTUNZI : MADAM YUSTAR SEHEMU YA SABA Tuendeleee.. Nilitoka kwa hasira hadi jikoni nilivyofika moyo wangu ulipiga shoti , ukweli sikuweza kufanya chochote nilisimama kama vile nimetekwa. Akili yangu gafla ilianza kuwawaza watoto wangu, niliwaza wakifunga shule nitawaeleza nini kuhusu baba yao? Watanielewaje lakini nilimuwaza mwanangu ambaye bado alikuwa na mwaka mmoja tu , huyu ndo alinipa mawazo zaidi mwanangu kuiishi bila baba ooh..! Haikuwa rahisi kulipokea hili jambo, moyo wangu ulizidi kunisisitiza lazima nibaki hadi nione mwisho wa haya yote ni lini, nilitoka jikoni moja kwa moja hadi vyumba vya wageni niliingia na kujifungia kwa ndani. Ninachoshukuru chumba hiki kilikuwa na bafu pamoja na choo chake hivyo kwangu ilikuwa raha sana. Usku mzima sikuweza kupata usingizi, nilitafakari ni nini maana ya haya yote? Au sikuwahi kuwa na mvuto wowote kwa Peter. Yawezekana hakuwahi kunipenda, au kaendewa kwa mganga lakini mbona siamini imani kama hizi? Nilitafak...

MSITU WA AJABU EPISODE:10

Picha
Story: MSITU WA AJABU episode:10 Mtunzi: Nellove Ilipoishia... Jay alitoa wazo lake ambalo lilimuacha mdomo wazi kila mmoja "Aaah hapana kwakweli,,hilo haliwezekani"alisema David na kila mmoja alipingana na wazo hilo Songa nayo... Jay aligeuka na kumtazama David kwa sekunde nyingi tu huku akionesha dhahiri chuki yake usoni. Japo wote hawakuwa tayari kwa wazo lake hilo ila yeye alikuwa anaona kama David ndiye mpingaji mkubwa wa wazo lake. "Asee wewe unapinga kama nani eeh??? Kwa lipi hasa ulilonalo hata unaamua kupinga???"alifoka Jay macho kayatoa kudhihirisha namna asivyopendezwa na kitendo kile. Hakuna aliyeshughulika kumjibu,,hata David mwenyewe hakujibu,, alifunga kinywa chake. "Sasa mkubali mkatae ni kwamba kazi hii lazima ifanyike na wazo la kujigawa ni lazima liheshimiwe"alisema kwa msisitizo mkubwa sana Kiufupi ni kwamba Jay alitoa wazo kwamba inabidi wagawanyike kimakundi kwa madai kwamba ikiwa hivyo basi kazi itafanyika haraka sana kuliko wote wak...

MSITU WA AJABU EPISODE:09

Picha
Story: MSITU WA AJABU episode:09 Mtunzi: Nellove Tulipoishia... ".....vipi na mimi nikisema yale niliyoyaona usiku??,, inahitaji moyo,,hii kazi ni nzito,, tumevamia pasipovamiwa" Songa nayo... Kila mmoja alikuwa kimya kusikiliza kitakachosemwa na Emmanuel,, yani hata wale waliokuwa wanampinga Steven midomo yao ilifungwa,,macho kodo,,masikio ndii yamesimama vyema kusikiliza hayo maajabu ambayo huenda yangeogopesha moyo. Emmanuel alitulia kimya kama mtu ambaye hakujua ni wapi aanzie kusimulia matukio hayo. "Nilisikia sauti ya kilio kikubwa cha mwanamke huku nje,, nilitamani kutoka ila niliogopa sana kwani niliamini hiyo ni mizuka ya humu msituni,, niliendelea kusikia ile sauti na jinsi muda ulivyokwenda ndivyo sauti iliposikika kwa ukaribu zaidi yani kama aliyekuwa analia yupo karibu na sikio langu,, hata hivyo niliitambua sauti ile,, nilishangaa sana kwani ile sauti ilikuwa ya Mariam"alieleza hayo kwa umakini mkubwa huku akipangilia vyema maneno yake. Hakika kipaji c...

HUKUMU YANGU SEHEMU YA 5

Picha
STORI: HUKUMU YANGU MTUNZI: JrLukoo ✊🏿 SEHEMU YA TANO (05) Ilipoishia sehemu ya nne "Achana na mwanangu, acha kabisa yule ni mke wa mtu nishakula na kifunga uchumba" Baada ya mkwara huo mzito mzee Matata aliondoka. Kichwani mwa Hakimu kulitawaliwa na mambo mengi yaliyomchanganya akili yake. Kwanza harufu ya kifo alichokikwepa dakika chache zilizopita lakini pia suala la kukutana na Jesca kabla hajaondoka. Songa nayo....... Kwa unyonge huku moyo wake ukitawaliwa na hofu kuu. Hakimu alijizoa zoa chini pale na kunyanyuka kuelekea alipoweka nguo zake. Alijikaza kiume na kuendelea kufua nguo chache zilizobaki. Umuhimu wa kuzitakatisha nguo zile haukuwepo tena, hamu yake kwa wakati ule ilikua ni kumaliza tu kuzipakaza maji nguo zile na kuanza safari ya kurudi nyumbani. Siku ile Hakimu hakuzianika nguo zile kule kule mtoni kama alivyozoea bali kwani moyo wake haukua na amani tena na eneo lile.  Baada ya kumaliza haraka Hakimu alibeba ndoo iliyokua na nguo ndani ya...

MUDRICK AND JABIR SEHEMU YA 21

Picha
HADITHI- MUDRICK AND JABIR SEHEMU YA 21 MTUNZI- LISSA WA MARIAM "Sasa unanikatia simu na kunizimia ili iweje? Unajua nataka kukwambia nini?" Nawal alisema na kujilaza alichukia sana, Baada ya nusu saa kupita, Mudrick alirudi na kumuomba atoe vyombo kama amemaliza, aliita sana akiwa mlangoni lakini Nawal hakuitikia ikabidi afungue mlango kwa kuogopa asije kumkuta labda hajavaa, alichungulia na kumuona amelala na kugeukia upande mwingine Mudrick aliingia na kukuta chakula vile vile kama kilivyo, alianza kumuita taratibu kwa kujua huenda yupo kwenye usingizi, lakini Nawal alikuwa macho na kila kitu alisikia alipomgeuza alimuona akitokwa machozi "Nawal umezidiwa sana au? Mbona unalia jamani" "Nipo sawa" "Sasa mbona hujala, kwani unatatizo gani? Embu niambie kwasasa mimi ndo nipo hapa na wewe, mama amechelewa leo naomba niambie pleasee, au unahisi mimi sitokuwa na msaada kwako? Embu niambie" "Mudrick?" Nawal aliita kwa upole na kuinuka akaka...

CHOMBEZO: MASSAGE ROOM SEHEMU YA 3

Picha
MASSAGE ROOM EP: 3 Story : Badru Singh #"Mungu Wangu "# Dokta Merry Alihamaki Baada Ya Kuliona Dudu La Kijana Khafidhi Likining'inia #"Mmmh Huyu Mtoto Kajaaliwa Duh"# Alizidi Kuwaza Dokta Merry Basi Khafidhi Baada Ya Kuvua Nguo Huku Akimuinea Aibu Huyo Mama Alipanda Kitandani Kama Alivyoelekezwa Akalala Kichalichali Akiangalia Juu Dokta Merry Alivuta Box Moja Lililokuwepo Mezani Akatoa Gropsi Za Mipira Na Kuanza Kuzivaa Baada Ya Hapo Alimsogelea Khafidhi Pale Kitandani Alipofika Akapeleka Mkono Kwenye Dudu La Khafidhi Alipolikugusa Tu Kijana Alishituka Kama Kapigwa Na Shiti Ya Umeme ""Tulia Kinana Mzuri Kwani Unaumia?"" Dokta Merry Alimuuliza Khafidhi Baada Ya Kumuona Kashituka ""Mmm"" Khafidhi Aliiyikia Kumaanisha Kama Haumii Basi Dokta Alipojibiwa Hivyo Akapeleka Mkono Kwa Mara Ya Pili Na Safari Hii Akafanikiwa Kulishika Akaanza Kulikagua #"Hili Dudu Kubwa Halafu Limekaa Vizuri Yani Ni Mara Mbili Na Alilokua Nalo Mu...

CHOMBEZO: MASSAGE ROOM SEHEMU YA 2

Picha
MASSAGE ROOM EP : 2 STORY : BADRU SINGH ""Usijali"" Basi Mzee Alitoka Mule Chumbani Huku Akiwaza #"Mmmh Huyu Mtoto Ana Balaa Duuh "# Mzee Alikua Akitembea Kuelekea Sebuleni Huku Akiwa Bado Analiwaza Lile Aliloliona Kwa Mwanawe Basi Mida Ikaenda Na Chakula Cha Usiku Kikaiva Wakakutana Mezani Na Kuanza Kula Walipomaliza Walipunzika Kidogo Kisha Kila Mtu Alikwenda Zake Lala Sasa Huku Chumbani Kwa Mama Yake Mdogo Khafidhi Ikabidi Mzee Amuweke Wazi Mkewe ""Mke Wangu Unajua Mwanao Ana Shida"" ""Ana Shida Gani"" ""Unajua Khafidhi Aliniita Akaniambia Shida Yake Inayomsumbua "" ""Ni Ipi Hiyo Si Uniambie"" ""Ni Hivi Mwanao Ana Maumbile Ya Ajabu Sana Yani Sehemu Zake Za Siri Ni Kubwa Kupita Maelezo "" ""Mmmh Sijakuelewa Hapo Unamaana Gani"" ""Namaanisha Khafidhi Ana Mdudu Mkubwa Kiasi Cha Kwamba Yeye Mwenyewe Haipendi Ile Hali Na Ndiomana...

CHOMBEZO: MASSAGE ROOM SEHEMU YA 1

Picha
MASSAGE ROOM SEHEMU : 1 STORY : BADRU SING H Baada Ya Kumaliza Masomo Yake Ya Form Four Kijana Khafidhi Aliamua Kutoka Zanziba Na Kwenda Dar Kwa Mama Yake Mdogo Ili Angalau Akatafute Kazi Ya Kujikimu Kijana Huyu Alikua Ni Mwenye Vipaji Vingi Mno Mana Alijua Kuimba Alijua Kunyoa Yani Alikua Ni Mwepesi Wa Kuiga Fani Za Wenzake Alikua Ni Kijana White Yani Mweupe Mwenye Macho Ya Duara Basi Siku Hiyo Alipanda Boti Mpaka Dar Kwa Mama Yake Mdogo Ambae Yeye Mwenyewe Alipendelea Kumuita Odo ""Karibu Mwanangu"" Odo Mtu Alimkaribisha Mtoto Wa Dada Yake ""Asante Shikamoo Odo "" ""Marahaba Za Huko"" ""Huko Safi Tu "" Basi Walikaribishana Na Kwakua Khafidhi Hakua Mgeni Katika Nyumba Hiyo Wala Hakupata Shida Sana Alikua Anajua Mpaka Chumba Chake Cha Kulala Mana Ilikua Kila Akipata Likizo Lazima Aende Huko Lakini Kitu Kingine Ambacho Khafidhi Anacho Ni Kuwa Na Maumbile Makubwa Sana Kitu Ambacho Hata Yeye Mwenyewe Hakukipe...

KIPOOZEO SEHEMU YA 3

Picha
SIMULIZI : KIPOOZEO SEHEMU YA TATU MTUNZI : MADAM YUSTAR. Tuendeleee..... Wakati natembea gafla niliguswa bega na mtu ambaye sikutegemea uwepo wake pale. "Yustar mambo! " aliongea kwa tabasamu huku anacheka. "Poa za kwako..!" Niliitikia nikiwa mkavu sana bila aibu, nilikuwa na hasira nae sana hivyo nilitamani asimbue namshobokea. "Oooh... Samahani naitwa Jacob, ujue kuna siku uliomba namba zangu ila kwa bahati mbay nilishindwa kukuandikia kutokana na khali niliyokuwa nayo, nisamehe mama ile siku nilikuwa naumwa hivyo nilikuwa nawah duka la dawa." Maneno yake ya upole yalinivutia sana, wala sikuona sababu ya kuendelea kumnunia wakati ameshaomba samahani. "Aaah... Usijali sana pole kwa kuumwa, unaendeleaje sahivi?" "Naendelea vizuri" aliongea huku anatabasamu, nilifarijika sana kumuona anavyofurahi. "Nafurahia kusikia hivyo, mmmh umemaliza dozi lakini?!" "Yeah.. Mama nimemaliza asante kwa kujali, hata hivyo naomba u...

MCHUNGAJI MCHAWI EPISODE:20

Picha
Story: MCHUNGAJI MCHAWI. Mtunzi: Nellove Episode: 20 Ilipoishia... "Msaadaaa!!! Nisaidieeeeee" aliendelea kupiga kelele zisizofua dafu ila alitulia ghafla baada ya macho yake kuona kitu kama uso wa mtu kwenye mbao ya juu ya jeneza ukimuangalia. Songa nayo... "Umefuata nini hapa????" ilikuwa sauti kali kutoka kwenye uso ule uliokuwa ukimuangalia. Mchungaji alitetemeka. "Hii ni himaya yangu mimi peke yangu, kwanini wataka uniingilie??" Mchungaji joshua aliendelea kutetemeka,, cha kujibu alikosa. Alibaki kujiuliza. "Nani huyu? Je sio miongoni mwa wale wa ufalme wa kuzimu?" Joto liliendelea kupanda nayo pumzi ilianza kukatika kwani hewa ya oksijeni haikuwepo. "Ni mazoea yenu binadamu kuingia hata mahali ambapo hapakuhusu. Umetumia mazoea ya asili yenu ila fahamu kwamba hapa umekosea na hakika utajuta" "Mimi sina kosa" yalikuwa maneno ya mchungaji ambayo yaliishia kwenye fikra na mawazo tu,, sauti haikutoka. Lile joto lililokuwepo ...

Dube Aipa Jeuri Azam, Lyanga Nje Miezi Miwili

Picha
HABARI njema kwa mashabiki wa Azam ni kurejea na kuanza mazoezi kwa mshambuliaji wao Mzimbabwe Prince Dube aliyekosekana kwa muda mrefu, huku chungu nyingine ikiwa ni ile ya kukosekana kwa kiungo mshambuliaji wao Ayoub Lyanga kwa muda wa miezi miwili. Dube amekosekana uwanjani tangu mwezi Mei mwaka huu kutokana na tatizo la tumbo alilolipata kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam dhidi ya Rhino Rangers, Lyanga yeye Novemba 16, mwaka huu alifanyiwa upasuaji wa mfupa wa meno ya juu nchini Afrika Kusini kufuatia majeraha aliyoyapata katika mchezo dhidi ya Geita Gold. Akizungumza na Championi Jumatatu, Mkuu wa Kitengo cha habari na mawasiliano wa Azam, Zakaria Thabith alisema: “Taarifa njema kwa mashabiki wa Azam ni kuwa mshambuliaji wetu Mzimbabwe, Prince Dube anaendelea vizuri na mazoezi baada ya kuwa nje ya Uwanja kwa muda mrefu akiuguza majeraha na hivi karibuni atarejea kwenye majukumu yake uwanjani. “Kuhusiana na Lyanga yeye baada ya kufanyiwa upasuaji Novemba 16, mwaka huu ana...

TWINS (MAPACHA) PART:02

Picha
TWINS (MAPACHA ) MTUNZI:OFFICIAL IBRAAH JUNIOR PART:02 ILIPOISHIA.... Siku moja Kurwa alikaa sehemu na kumwangalia sana Majaliwa, ilikuwa ni siku za mapumziko, Majaliwa alikuwa akisafisha bustani ya kwao huku Kurwa akiwa anamwangalia kwa jicho regevu lenye mahaba ndani yake... SONGA NAYO... "vipi wewe tena, naona unataka kuimaliza pen kwa kuitafuna" Dorice Alitokea nyuma ya Dorine na kumkuta Dorine akiwa anatafuna pen tu huku akimwangalia Majaliwa "Aah! Hana bana" Dorine alishituka kwenye dimbwi zito la huna kwa Majaliwa "Hamna nini, na nakuona hapo sijui umefeli wapo usaidiwe" Dorice aliongea  "Nawe ushaanza sasa, si kaendelee na mambo yako, mtu mwenyewe wa kidato cha kwanza, niache nina mawazo yangu ya pepa hapa" Dorine mfululizo na kumfanya Dorice agune tu  "Mmhh!  Nawe haya, ila useme usaidiwe" Dorice aliongea na kufanya kuzuka kwa mjadala mzito wenye mabishano imradi tu, uitwe ugomvi  "Haya nyinyi sura mbili mshaan...

TWINS (MAPACHA) PART:1

Picha
TWINS (MAPACHA) MTUNZI:OFFICIAL IBRAAH JUNIOR PART:01 TUANZE NAYO... Ni katika shule ya High school inayopatika mtaa wa kinondoni jiji dar es salam, ilikuwa shule kubwa ya bweni (boding), anaoneka kijana majali, kijana ambae siku zote alijitahidi kupambana kimasomo ili aje aokee familia yake, licha ya familia yake ipo kijijini na hali ngumu ya kimaisha basi alipigana hapa na pale tu ili aokoee familia, siku moja akiwa shule hapo alitembelea wa mjomba wake, maana ilikuwa harusiwi kuondoka kutokana na shule ulikuwepo mbali na kijiji anachoishi ivyo ililazimika akae hapo shule mpaka likizo... Siku moja, mjomba wa Majaliwa aliwasili shuleni hapo na kuonana ana majaliwa "Mjomba wangu, usijali nitakulea mwanangu, nitakusomesha, na utafaulu vizuri" "Mjomba kuna nini kwani mpaka unasema hivyo maana, maana si kawaida, na sikuelewi kwanini unasema hivyo" Majaliwa alikuwa ni kijana wa miaka 19 ambae alikuwa nasoma kidato cha tatu katika za bweni, siku zote hakuzoea kumuo...