Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba, 2021

Kocha wa Yanga Atajwa Simba

Picha
Kocha wa Yanga, raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi. IMEELEZWA kuwa, licha ya Mwekezaji wa Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’, kuachia nafasi ya Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu hiyo, lakini bado anahusika kwenye baadhi ya mambo ikiwemo kipindi hiki cha mchakato wa kusaka kocha mpya wa kuinoa timu hiyo.   Wakati Simba ikiwa kwenye mchakato wa kumsaka mrithi wa Kocha Didier Gomes aliyeachia ngazi Jumanne ya wiki hii, baadhi ya viongozi wa Simba wameonekana kulijadili jina la Kocha wa Yanga, raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi. Kwa mujibu wa chanzo kutoka Simba, viongozi wa timu hiyo wamekuwa bize kwenye vikao juu ya kuangalia nani atakuwa kocha sahihi wa kurithi mikoba ya Gomes.   Mtoa taarifa huyo alieleza kwamba, katika mjadala wa kumpata mrithi wa Gomes, wapo waliolitaja jina la Nabi kutokana na kuhitaji kocha ambaye anayajua mazingira ya soka la Tanzania, lakini pia mwenye uzoefu wa michuano ya kimataifa. “Ndugu yangu suala la kupata kocha mpya limechukuliwa sura tofauti sana na Mo, kwani...

MY FIRST DAY, EPISODE:10

Picha
MY FIRST DAY MTUNZI: McLAURIAN EPSODE: 10 Ilipoishia, nilitoka kuoga bafuni na kisha nikaketi kwenye sofa huku nikianza kuangalia Tv. Mwalimu naye alienda bafuni kuoga huku akiwa anatokwa damu na kuchechemea kwa mbali. ......SONGA NAYO..... Nikiwa nimekaa kwenye sofa, gafla mkuu naye alitoka bafuni huku akiwa anatembea kwa kama mtu aliyetolewa ngozi yake ya soksi huku akionekana mwenye maumivu makali. Nilimuonea huruma lakini nami pia nilihisi maumivu japo kwa mbali. Alifungua taulo lake kisha akajipakaa mafuta na kisha akavaa suruali yake huku akiwa anaivuta polepole ili isiweze kumuumiza. Baada ya kumaliza kuvaa, aliniambia kuwa kikao kimehairishwa hivo tunatakiwa kuondoka asubuhi kwani shuleni palikuwa mbali sana. Niliongozana naye, na kisha akakabidhi funguo na kuaga huku akionekana kutokuwa na furaha. Nilianza kujiuliza kujiuliza maswali juu ya kikao hicho huku nikibaki bila majibu. Mkuu alifungua gari kisha tukaingia na kuanza safari huku nikiwa tiyari kwenye Uniform. Mkuu aliend...

MCHUNGAJI MCHAWI, EPISODE:11

Picha
Story: MCHUNGAJI MCHAWI. Mtunzi: Nellove Episode: 11 Ilipoishia... Alipofungua mlango tu macho yake yalitua juu ya wazee watatu waliokuwa hapo nje wanamtazama. Endelea... Mshituko mkubwa ulitua ndani ya moyo wake, nao mshangao haukuwa mbali kwani sura zilizokuwa mbele yake zilikuwa ngeni kabisa machoni pake. Sasa taa ziliwaka ndipo alipofanikiwa kuwaona vizuri zaidi wazee hawa. Kumbukumbu zake zilithibitisha kwamba ni kweli hakuwahi kuwatia machoni hawa watu,, Mchungaji alibaki ameduwaa tu. "Vipi bwana mbona hutukaribishi?" Alitamka mzee mmoja aliyekuwa mbele zaidi na bila shaka ndiye aliyegonga mlango. "Ah! karibuni wazee wangu" alisema kwa kubabaika Mchungaji alionekana kushindwa kabisa kuidhibiti ile hali ya wasiwasi iliyomtawala. Muda wote alikuwa anajiuliza ni nani hawa? Wametoka wapi na wamefuata nini kwangu usiku huu?? Alijiuliza maswali mengi sana bila kupata majibu ndipo alipoona ni busara kukaa nao awasikilize. Basi aliingia nao ndani na kuwaonesha mahali ...

MY FIRST DAY, EPISODE:09

Picha
MY FIRST DAY MTUNZI: McLAURIAN EPSODE: 09. Ilipoishia, mkuu alinijeruhi kwenye kipusa changu na kusababisha kuanza kutoka damu kwa mbali huku maimivu yakiwa kama mtu aliyewekewa pilipili kwenye kidonda. SONGA NAYO... Nikiwa bado nasikilizia maumivu, mkuu wala hakujali na kujikuta anaendelea kutaka kuzamisha tango lake ambalo lilikuwa limekakamaa kwelikweli. Baada ya kuona hivo, ilibidi nijiongeze ili nisiweze kuumizwa sana kwani maumivu yalikuwa makali sana. Niliongeza sauti huku nikiendelea kutapatapa na kujirusharusha kwenye kitanda lakini wapi niliishia kushindwa kwani mkuu alikuwa na nguvu zaidi ya kiboko. Baada ya kuona ninatoa machozi huku nikionekana mwenye maumivu makali sana, alinisogelea na kisha akaanza kuniomba niwe mvumilivu na kusema akishazamisha tu, maumivu yote yataisha na wala sitopata shida yoyote ile hata tukikutana siku nyingine. Niliendelea kumsikiliza huku nikihisi maumivu makali yaliyoambatana na damu kwa mbali. Mkuu alisogeza mdomo wake kisha akataka tena kuni...

Yanga Yateua Kamati Ya Ufundi

Picha
MWEMYEKITI wa Yanga kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji Klabu hiyo wameteua Kamati ya Ufundi yenye watu 6. Kamati ya hiyo imemteua Dominck Albinus kuwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo na Salim Rupia kuwa Makamu Mwenyekiti. Wajumbe wanaounda Kamati hiyo ni; 1. Ally Mayay 2. Kenny Mwaisabula 3. Sunday Manara 4. Kanali Idd Kipingu.

BALAA LA PENZI LA JINI, PART:07

Picha
BALAA LA PENZI LA JINI MTUNZI: McLAURIAN PART: 07 Ilipoishia, Baada ya shughuli pevu na ya aina yake, miili yao ilijaa chasho kama waliomwagiwa maji ndipo Zayna aliponyoosha mkono wake na madirisha yakafunguka. Haya sasa, Dicky aliambiwa aendelee hivohivo kwa round nyingine kabla hajatowesgwa ndipo alipofanya hivo tena kwa sifa mpaka Zayna kwa mara ya kwanza akahisi sumaku inakuwa ya moto. Alitoa sauti kali sana ambayo ilipenya kila sehemu. Sauti hizo zilimfikia moja kwa moja Kaylin ambaye alikuwa sebuleni. Harakaharaka alikwenda stoo kisha akachukua jambia kisha akafungua mlango taratibu kwa kunyata. Baada ya kuufungua, alijibanza ukutani ndipo alipitega masikio yake vizuri kujua wapi sauti zatokea..... SONGA NAYO... Ama kweli kila mchuma janga hula na wa kwao ndivyo mambo yalivyoanza kuchemka kama uji wa moto uliomiminiwa maziwa ya moto. Taratibu Kaylin alinyata kama kinyonga amuwindavyo nzi huku mkono wa kulia ukiwa umeshikilia jambia . Aligeuka huku na kule kuona kama kuna mtu pemb...

Staa NBA Aliyegomea Chanjo Asababisha Maandamano

Picha
Nakuvutia hii kutoka pande za Marekani ambapo maandamano makubwa yamezuka kumsapoti staa wa NBA  Kyrie Irving, anayekiwasha katika timu ya Brooklyn Nets  aliyegomea chanjo ya Corona na kukatazwa kucheza kikapu mpaka akubali kupata chanjo hiyo.   Mashabiki wamejazana katika uwanja wa Brooklyn Nets unaoitwa NYC’s Barclays Center kushinikiza staa huyo aruhusiwe kucheza tena kikapu kwani maamuzi ya kuchanjwa ama kutochanjwa ni ya mtu binafsi, video zinazosambaa mitandaoni zinawaonesha mashabiki hao wakiwa kwenye maandamano hayo yaliyoanza tangu jumamosi, zimezua taharuki nchini humo. Uongozi wa timu ya kikapu ya Brooklyn Nets ulishatoa taarifa mapema mwezi huu kuwa Irving hatoweza kushiriki mashindano ya kikapu mpaka pale atakapokubali kuchoma chanjo ya Corona, nchini Marekani imewekwa sheria ya kila mchezaji kupata chanjo ya Corona hata kama mchezaji haishi katika taifa hilo. KUMBUKA: Corona (UVIKO-19) ipo na inaua, chanjo inapunguza hatari ya kifo na kupunguza hali mbaya wakati wa kuugua...

BALAA LA PENZI LA JINI, PART:05

Picha
BALAA LA PENZI LA JINI MTUNZI: McLAURIAN PART: 05 Ilipoishia, Haya sasa, wakati kaylin anaendelea kumsubiria mme wake kwa hasira kali, Dicky yeye hatimaye alibakiza mwendo mfinyu mno kufika nyumbani kwake. Alipunguza speed kisha akaikata kona na kuelekea nyumbani kwake huku zikiwa zimebaki mu Mita chache hivi mpaka nyumba yake ilikuwa inaonekana kwamacho. Barabara ya kwenda kwake, ilikuwa mbovu hivo alipita kwa uangalifu mkubwa sana hali iliyopekekea mke wake kuhisi kama kuna mlio wa gari . Kaylin alisimamisha masikio yake kama panya aliyehisi uwepo wa panya huku macho yakiangaza huku na huko. Haya sasa, Dicky hatimaye alifika getini kwake huku akiwa .mtupu kabisa na bila kujijua kama yupo mtupu ndipo alipowasha taa iliyofatiwa na mlio wa honi. Kama haamini hivi, Kaylin alijifunga kanga yake vizuri kisha akaenda kufungua mlango wa geti... KILICHOENDELEA MI SIJUI... SONGA NAYO... Taratibu mlango ule ulifunguliwa na Kaylin ndipo alipoona gari ya mme wake. Moyo ulimpweta mbiombio, macho...

BALAA LA PENZI LA JINI, PART:06

Picha
BALAA LA PENZI LA JINI MTUNZI: McLAURIAN PART: 06 Ilipoishia, Naye Dicky..., aliingia ndani ya gari yake huku kichwa kikiwa kinamuuma kwelikweli. Haya sasa, akiwa anaanda majibu ya na maelezo ya kutosha, Zayna alianza safari yake akiwa anapaa angani mpaka nyumbani kwa Dicky. Sekunde chache sana, Dicky akiwa kwenye gari alishangaa kuona mwanga mkali ukiwaka huku kikionekana kitu cha ajabu, vinyweleo vyake vilisimama ndipo alipotoa sauti ya mshangao. "Hee!.." Nini hiki...Dicky alisema huku akiwa ametoa macho "Leo ni leo.." Sauti ilisikika kwenye gari ndipo Dicky alipotaka kufungua mlango wa gari lakini haukuweza kufunguka... SONGA NAYO.... Dicky kusikia sauti hiyo, hofu ilimjaa moyoni mwake, vinyweleo vyake vilisimama kama panya aliyejificha ili asiliwe na Paka. Bila kuchelewa alianza kuhaha huku na huko ili aweze kutoka kwenye gari ndipo alipopata akili ya kupita dirishani. Taratibu akiwa anaangaza macho yake, aligusa kioo cha dirisha ili aweze kukishusha lakini al...

CAS Yasogeza Mbele Hukumu ya Shauri la Yanga na Morisson

Picha
TAREHE ambayo hukumu ya kesi kati ya klabu ya Yanga na mchezaji Bernard Morrison ilikuwa imepangwa, imesogezwa tena mbele mpaka Novemba 23, mwaka huu.   Wakili wa Yanga, Alex Mgongolwa akizungumza, ametoa ufafanuzi kuwa hukumu hiyo itatolewa siku yoyote kuanzia sasa mpaka Novemba 23, kwa mujibu wa taarifa waliyopewa na CAS.   Mahakama hiyo ya Usuluhishi wa michezo imetoa maamuzi hayo kutokana na upande wa mawakili wa Bernard Morrison kutuma barua ya kielektroniki (E-mail) huko CAS, ambapo walitoa pendekezo kesi hiyo itolewe hukumu kwa kuwa imekua ikiahirishwa mara kwa mara.   Awali CAS ilisema itatoa hukumu ya shauri hilo Oktoba 26, lakini haikutoka na itatoka wakati wowote kutoka sasa mpaka Novemba 23.

Nabi Awapa Maagizo Maalum Aucho, Bangala

Picha
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, kweli anazitaka pointi tatu za Azam FC baada ya kuwataka viungo wake, Khalid Aucho na Yannick Bangala kupiga pasi nyingi za haraka kwenda katika goli la wapinzani.   Timu hizo zinatarajiwa kuvaana Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Akizungumza na Spoti Xtra, kwa niaba ya Kocha Nabi, Kocha Msaidizi wa Yanga, Cedric Kaze, alisema wao benchi la ufundi wanataka kuona timu inacheza soka la kisasa la pasi nyingi kwa lengo la kuwapa burudani mashabiki wao. Kaze alisema kuwa, anafurahia kuona timu yao ikiendelea kupata matokeo mazuri ya ushindi huku akiwazuia wachezaji wake kubutua mipira katika michezo yao. Aliongeza kuwa, benchi lao la ufundi likiwa linaendelea kutengeneza muunganiko, wanataka kuona viungo Aucho, Bangala na Feisal Salum ‘Fei Toto’ wakitimiza majukumu yao ya kuchezesha timu na kupiga pasi za uhakika za kuzaa mabao. “Katika michezo ambayo tumecheza ya ligi, timu imeonekana ikitengeneza nafasi nyingi...

Koeman Atupiwa Virago Barca

Picha
KLABU ya Barcelona ya imemtimua kocha Mdachi, Ronald Koeman saa chache baada ya kupokea kichapo dhidi ya Rayo Vallecano jana usiku. Taarifa za kufutwa kazi kwa Kocha huyo zimetolewa jana wakati Koeman na timu yake wakiwa kwenye ndege ya kurudi Barcelona kutokea kupokea kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Rayo Vallecano. Barcelona ipo nafasi ya 9 katika Msimamo wa La liga na katika michuano ya Klabu Bingwa Ulaya imepoteza mechi zake mbili za kwanza katika hatua ya makundi kwa mara ya kwanza katika michuano hiyo.   Wakati huo Legend wa Klabu hiyo  Xavi Hernandez  anapigiwa chapuo la kubeba mikoba ya Mholanzi huyo katika viunga vya Camp Nou.

BALAA LA PENZI LA JINI PART:04

Picha
BALAA LA PENZI LA JINI PART: 04 Ilipoishia, "Ebu nipe niongee naye kama anakudai basi hiyo elfu 30 nitailipa mda huu ili asiendelee kukusumbua my baby" Zayna alimwambia Dicky. "Hapana wala haina shida nitamlipa mwenyewe ila sio leo wala kesho" Dicky alimwambia Zayna. "Hapana, naomba simu hiyo mara moja ili nimlipe hela yake maana ni haki yake na aliitolea jasho lake hivo anastahili kulipwa mara moja" zayna aliingiza mkono kwenye suruali ya Dicky iliyokuwa pembeni kidogo kisha akaanza kuitoa taratibu kwani suruali ilikuwa imejikunja sana. Wakati anamalizia kuitoa, simu iliita tena kwa mara ya 3 ndipo Dicky alivyoamua kutimua mbio huku akiwa mtupu na kumuacha Zayna akiwa anacheka na kushangaa ... SONGA NAYO... Zayna alipokea simu hiyo kwa makini kabisa huku akikaa kimya bila kuongea chochote kile, alikunja uso wake , hasira zikampanda kama mwanafunzi aliyefeli mtihani wakati hakuwahi kuwa mtoro hata siku moja. Aliweka simu hiyo sikioni mwake huku.akiwa amet...

BALAA LA PENZI LA JINI PART: 03

Picha
BALAA LA PENZI LA JINI MTUNZI: McLAURIAN PART: 03 Ilipoishia, Dicky hakutaka kuchelewa hata dakika 1 ndipo alipowasha gari lake huku mwili wake ukiwa umechemka , kuelekea kidondoni. Walitumia dakika kama 6 hivi ndipo.Zayna alipomuongoza Dicky kwa kumuohesga njia mpaka hapo alipoambiwa wamefika. Mvua ilikuwa imekata japo kwa mbali manyunyu yalikuwa kidogo, Dicky akiwa haelewi nini anakiona mbele yake, gafla mwanga kama wa radi ulionekana kweye makaburi kisha Zayna akamwambia, "Hapa ndo makazi yangu.., nashukuru sana kupata mme kama wewe wa kuniliwaza na kunipa raha, unachotakiwa ni kuja kila siku mida ya saa 3 usiku mpaka saa 11 alfajiri afu nitakuruhusu kurudi nyumbani. Hutakiwi kugoma wala kusita kwani utapotesa maisha yako.." Zayna alimwambia Dicky "Heee!.." kwa mshangao mkubwa ,Dicky alitetemeka huku.akiwa hajui nini akifanye kwa mda huo..... SONGA NAYO... Zayna alinyoosha mikono yake juu kisha akaishusha chini ndipo kaburi lake lilipofunguka kwani lilikuwa limej...

MCHUNGAJI MCHAWI. EPISODE:10

Picha
Story: MCHUNGAJI MCHAWI. Mtunzi: Nellove Episode: 10 Ilipoishia... Mchungaji Joshua alibaki ndani na mtoto hata Hivyo hazikupita dakika nyingi sana sauti ilisikika "Mamaaaaaa!!!" Kelele hizi zilisikika kisha sauti kali ya kukoroma ilianza kusikika kutoka sebuleni. Mchungaji alishituka sana hivyo aliinuka haraka na kukimbia hadi sebuleni ili kujua ni kipi kimetokea. Endelea... Hatua chache zilizopigwa haraka haraka zilimfikisha sebuleni ambako alimkuta mkewe akiwa chini hajielewi. Moyo wake ulienda mbio japo hakutaka kabisa kuruhusu hofu kuingia ndani yake. Alisogea taratibu hadi mahali alipokuwepo mke wake,,, alichuchumaa na kumchunguza kidogo kwa kumgusa gusa maeneo ya shingoni na kifuani. "Mmmh!!" Mchungaji aliguna na kumgusa tena maeneo hayo kisha alisimama,, mikono kaitupa kiunoni. Uchunguzi wa haraka uliofanyika na mchungaji ulitoa jibu kuwa mke wake hakuwa anahema wala kupumua,, hii hali ilimpa wasiwasi sana. Mchungaji Joshua alipigwa na butwaa hata hivyo ali...

MCHUNGAJI MCHAWI, EPISODE:09

Picha
Story: MCHUNGAJI MCHAWI. Mtunzi: Nellove Episode: 09 Ilipoishia... "Binti tunaomba Jibu lako tafadhali. Ulimuona wapi huyu?" "Huyu nimemuona juzi njiani na ndiye aliyenibaka" alijibu binti Glory Endelea... Moyo wa mchungaji Joshua ulisinyaa kutokana na kile kilichopenya kwenye ngoma za masikio yake. Hakuamini kabisa kile alichokisikia kutoka kwa binti yule mdogo,,, Kitete kiliikamata miguu yake na kila kiungo cha mwili wake huku kigugumizi nacho kikizuia sauti ya utetezi kutoka ndani yake. Ndugu na Jamaa waliokuwa upande wa mchungaji Joshua hawakuamini kile walichosikia na hawakuwaza kama mchungaji anaweza kufanya jambo kama hilo. Hakika ilikuwa ngumu kuamini. "Binti una uhakika ndiye huyu aliyehusika???" Lilikuwa swali la hakimu. Hapakuwa na jibu lolote kutoka kwa binti yule aliyekuwa analia ndani ya muda wote huo. "Tuthibitishie hili kabla mahakama haijatoa maamuzi yake" alirudia kuzungumza hakimu. "Binti ameshasema sasa ni uthibitisho gan...