Yanga Yateua Kamati Ya Ufundi



MWEMYEKITI wa Yanga kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji Klabu hiyo wameteua Kamati ya Ufundi yenye watu 6.
Kamati ya hiyo imemteua Dominck Albinus kuwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo na Salim Rupia kuwa Makamu Mwenyekiti.
Wajumbe wanaounda Kamati hiyo ni;
1. Ally Mayay
2. Kenny Mwaisabula
3. Sunday Manara
4. Kanali Idd Kipingu.



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MCHUNGAJI MCHAWI, EPISODE:08

CHOMBEZO: BINAMU 🔞 SEHEMU YA 11

(Episode 1) Penzi Zito La Polisi Mpelelezi Na Mwalifu