Yanga Yateua Kamati Ya Ufundi



MWEMYEKITI wa Yanga kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji Klabu hiyo wameteua Kamati ya Ufundi yenye watu 6.
Kamati ya hiyo imemteua Dominck Albinus kuwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo na Salim Rupia kuwa Makamu Mwenyekiti.
Wajumbe wanaounda Kamati hiyo ni;
1. Ally Mayay
2. Kenny Mwaisabula
3. Sunday Manara
4. Kanali Idd Kipingu.



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: BINAMU 🔞 SEHEMU YA 11

KIJIJINI KWA BIBI SEHEMU YA 1-5

CHOMBEZO: MASSAGE ROOM🔞 SEHEMU YA 21