Machapisho

ROHO YA KUZIMU SEHEMU YA 2

Picha
STORY:-ROHO YA KUZIMU PAGE YA :-2 MWANDISHI:-AMANI KUYELA Page iliyopita iliishia pale Hashiru akiwa anatafuta namna ya kupenyeza gari lake la kifahari kwenye njia mbovu za uswahilini katika mtaa wa mtakuja. Sasa kama ida twende mzigoni,,,,vanvouver, wispa zempempeeeee,,,, Hashiru akiwa anatizama jinsi ya kupita katika njia ile, akaajitahidi kadri anavyoweza hadi akalipitisha gari nakuzidi kusogea mkabala kabisa na nyumba alipokuwa akiishi zehera, walipofika nje ya nyumba kulikua na watoto wengi wakicheza cheza pia majirani wakike walikua wamekaa nje katika mifuko ya sandarusi wakiwa wanapiga rusaku kama kawaida yao. Lakini walipoiona ile gari kali namna ile imekuja mtaani kwao, wakawa wanaongea chini chini kila mmoja akionyesha kushangaa sana kwa kuwa hawajazoea mtaani kwao kuona gari za maboss zikija. Wakawa wanatizama kwa umakini huku macho yao yote yakiwa chonjo kuangalia ni nani haswa nyangongo kaja na hiyo gari. Baada ya sekunde kadhaa akaonekana zehera akishuka akaanza kutoa mif...

MGENI KUTOKA MJINI SEHEMU YA 3

Picha
SIMULIZI........MGENI KUTOKA MTUNZI........SHAX GOLD NO..........003 Devota aliwaonesha wakina amina uyo kijana mwenyewe ambae ni jeydan aliekuwa juu ya paa ya nyumba akiweka ile solar panel yake mda uwo bibi yake aliingia ndani ili kuandaa upishi wa usiku pale njee alibakia mzee mrisho na jeydan tu peke yao. “Mhh! Jamani kweli yule kijana ni mzuri alafu ni mtana shati vibaya mno sijawai kuona kwenye kijiji ichii..!!!” aliongea grace uku macho yake yote yakiwa kwa jeydan anae funga solar. “Shikamoooo!! Mume wetuuuu!!!!” devota aliongea kwasauti ya juu uku akimtazama mzee mrisho kule alipo maana wao walikuwa wanapita kwenye kinjia tu kidogo dogo, cha ajabu mcharuko wa kijiji amina alikuwa kimya ana mtazama tu jeydan lakini irene yeye alimtazama mara moja tu na kuendelea kuchapa lapa ila grace na amina wao walikuwa wana mtazama tu jeydan wana kenua tu. “Marahabaaa!! wanawake wangu karibuni...!!!” Mzee mrisho aliongea uku akiwa tazama na jeydan nae aliwa tazama tu na kutabasamu kisha akae...

MPENZI CLARA EPISODE 9

Picha
MPÉNZÎ CLÄRÀ EPISODE (09) ✓ ........................... ILIPOISHIA ''''''''''''''''''''''' Lakini mala kidogo akahisi kama kuna mtu amesimama nyuma yake alipogeuka akuona kitu chochote akadharau sasa ile anakuja kuludisha macho upande wa pili (mamaaah!!! nakufaaah!!!) zilisikika kelele tu kutoka chumbani kwa delvick... !!!!!! ENDELEA NAYO SASA !!!!!! .................................................. (jamani uyo jeeeh huko chumbani kwake au atakua kanasa kwenye umeme waliulizana ndugu zake pale sebuleni baada ya kusikia makelele) EMU TULUDI KWA MSHIKAJI SASA wewe kijana unajifanya mjuaji sana eeehe?! njoo tuonyeshane ukenge sasa nimekuja kwaajili yako ahahahah!!!! ahahah!!!! ahahah!!!! aliongea CLARA huku akicheka kicheko cha kijini jini (DELVICK- aaaah! weeeh!!! mimi nilikua naimba zangu sitaki huko ukorofi tu muone kwanza jamani sitaki au nimekumbuka naomba buku nikanunue maji ya kunywa) alion...

ZOMBI WA DAR EPISODE 08

Picha
ZOMBI WA DAR ABELUKA EPISODE YA 08 «RIP MAMA TONY.» TULIISHIA.... "naona umeongea tena hahahaha. utamfanya Nini Sasa yule mama maana hata Mimi kanike..." Aliongea same hata hakumaliza sentensi akatulia na kusimama chap akabaki anashangaa kuona gari la Mr Hance likiwa nimepack nje ya nyumba yake. "Gari la nani lile mkuu?.."aliuliza zombi "La bosi wangu..." Same alijibu mala mlango wa lile gari unafunguliwa akatoka Mr hance akiwa ndani ya suti yake nyeusi akageuka na kumtazama same. ENDELEA.... "zombi twende usiogope nitakutambulisha kama mdogo wangu..."same alianza kutembea kuelekea mbele alipo Mr hance. "Karibu bosi ni baraka kubwa kutembelewa na mtu mashughuli Kama wewe twende ndani mweshimiwa.." same aliongea kwa utu na utulivu akionyesha unyenyekevu mkubwa kwa mr hance. Lakini Mr hance alikuwa akitazamana na zombi mda huo. "Huyu ni rajah kweli kabisa Sasa inakuwaje ananiangalia Kama hanijui? Mbona hajashituka kuniona au amepote...

JINI WA DARAJA LA SALENDA SEHEMU YA 7&8

Picha
SIMULIZI: JINI WA DARAJA LA SALENDA MTUNZI: ALLY MBETU SEHEMU YA SABA NA YA NANE ILIPOISHIA: Kila aliyemuona hakumdhania vibaya, aliacha eneo la bahari na kuingia makazi ya watu, alipokaribia maeneo ya nyumba ya mganga aliuona moto ukiwaka tena. Alikwenda kwenye nyumba ya jirani na kuomba kupumzika, kutokana na kuonekana mstaarabu alikaribishwa na kupewa kiti. Mwenyeji wake hakujishughulisha naye aliendelea na shughuli zake na kumuacha Kulani akitupia jicho njia ya kutokea kwa Mganga Njiwa Manga. SASA ENDELEA... Muda ulikwenda bila mganga kuonekana, kila alipopata wazo la kwenda kwenye nyumba ile alishangaa kuuona moto ukiwaka, lakini ulipotulia nyumba ilikuwa katika hali ya kawaida. Alijikuta yupo kwenye wakati mgumu akiamini kabisa ngoma ile ni nzito kwake kuchezeka. Kilichomchanganya zaidi ilikuwa ni kauli ya mfalme Barami Hudirud ya kuhakikisha anammaliza mganga ndipo arudi, japo muda aliopewa ulipita. Kulani alipata pigo baada ya mwenyeji wake kutaka kuondoka, akiwa bado kichwa ...

ROHO YA KUZIMU SEHEMU YA 1

Picha
STORY:-ROHO YA KUZIMU PAGE YA:-1 MWANDISHI:-AMANI KUYELA Karibu sana katika mfululizo mpya wa simulizi hii iliyojaa mpangilio wa mikasa na matukio ya kutisha katika ulimwengu wa roho, kwa wanao amini uwepo wa ulimwengu huu basi nakuja kukujuza elimu dunia katika mtindo wa sanaa ya fasihi andishi nakusafirisha hadi ndani ya ulimwengu huu wa roho kujulikanako kama kuzimu usioweza kuonekana kwa macho ya kawaida ya kibinadamu. Naam, ambatana nami mwandishi wako AMANI KUYELA niweze kukusogezea yale usiyoyaona katika hadithi zingine, story ndo kwanza bado mbichi kabisaa. Baada ya utangulizi huo, sasa twende mzigoni. Ikiwa ni siku nzuri sana ya al hamisi, katika mitaa ya soko kuu la manispaa ya kahama mjini anaonekana mwanadada akiwa amevalia mtoko maridadi kabisa. Mwanadada huyo aliyepanda hewani futi kadhaa zenye ujazo huku umbo lake likiwa lakuvutia lenye muundo wa aina yake, na sura yake ikiwa ni ya kumvuta bwana shitete kutoka huko pangoni, mwanadada huyo akiwa na mchanganyiko wa udongo...

MGENI KUTOKA MJINI SEHEMU YA 2

Picha
SIMULIZI......MGENI KUTOKA MJINI MTUNZI.........SHAX GOLD NO..........002 Basi mzee mrisho na jeydan waliondoka uku wakiwa wanacheka ila juma akuwa sikia lakini alivyo tazama barabarani kwenye icho kinjia kidogo tu alimuona mtu akiwa amevaa kimjini mjini kabisa yani zilikuwa pigo za kisasa akiri ili mtuma kuwa yule ndio alie mfukuzia ndege wake. Basi jeydan walifika adi kwa mzee nyange wakaomba ifadhi mzee nyange nae akuwa wanyima akawa wa kubalia mara kidogo aliingia juma mbavu uku akiwa amekasirika vibaya kwa kumkosa devota kwa stahili kama ile alivyo angalia pale kwao alimuona yule mgeni alievaa kimjini mjini ambae ni jeydan akiwa amekaa na babu yake kwenye beanch alafu baba yake mzee nyange akiwa amekaa kwenye kiti cha mbao apo chini ya mti. “Afadhali nilivyo kuona baba angu kwema kwanza uko utokako...?” mzee mrisho alimuuliza juma mbavu alie kunja uso mda uwo kama vile kajambiwa na dondola. ”Kwema baba, shikamoo...” juma mbavu alisalimia uku ana mkata jicho jeydan la kushari shar...