NOTEBOOK NO.3
NOTEBOOK
NO. 3
Mida ya saa 9 hiv walifika huko kijijin ,Carry alianza kujiskia vibaya hivyo alikaa pemben kabisa ,alijitenga na watu wala hakuhudhuria makaburin,masikn Carry hakujua kaka yake Jescar ,ndye Edward amtafutaye na vile tu amejitenga na huku Edward alisimama kutoa muongoz mfup baada ya mazish yale nini kitafuata kwaniaba ya mama yake na baba yake ,hivy ikawa bahat mbaya kwa Carry kutokumuona Edward kwa wakt ule ,Carry alipokuw amekaa kule alianza kujckia kichefuchef alitapika sana,isitoshe hakula kwa muda mref hvyo alikosa nguvu ata za kunyanyuka pale alipokuwa amekaa alianz kujihis kiznguzungu .
**************************************************
Carry alishtuka yupo kitandan huku kichwa kikimuuma sana ,hakuelewa yupo wap alijarb kujiinua pale kitandan lakin hakuwa na nguv ,baada ya muda kidogo aliingia Alex akiwa ameshika mfuko wa chips mkononi ,Carry alishtuka kumuona Alex mbele yake
"Usiogope mrembo upo salama "Alex alimwambia Carry
"Nimefikaje hapa kwann nipo na wewe?"
"Tulia kwanza hal yako si nzur hutakiw kupanic ,ntakuelezea kila kitu usijal ,kula kwanza "
"Siwezi nahitaj kuujua ukwel kwanza "
"Ok ,kama nlivyojitambulisha tangu mwanzo ,mim ni Alex ,nlvyokuona pale msiban nliendelea kukufatilia tartb ,had tunafika kule kjijin nlikuwa nakufatilia ,ndipo nlpokukuta umeanguka na umepoteza faham nlkuchukua nkakupandisha kwenye gar yang ,nkakuleta mjin ,nkaona ni vyema nkufkishe nyumbn kwangu kwanza .
"Ooh Asante sana Alex kwa msaada wako "
"Usijal Lkn ingekuwa vzr kam nngekutambua hata jina lako maan ulikataa kabisa kuntajia"
"Naitwa Carry"Carry alijib kwa aib maan alimtelea nyodo ila ndo mtu pekee aliyeweza kumsaidia ,alipewa chakula akala ,alivyoangalia saa ilikuwa saa 4:30 hivyo haikuw rahis yeye kuondoka usiku huo kwenda nyumban kwao ilimbd alale palepale .
Asubh aliamka ila alikutana na ujumbe kutoka kwa mama yake,kwamba amelala nje hivyo hakutakiwa kabisa kurud nyumban ,Carry alinyong'onyea hakujua ataenda wap ,Alex Alibisha hod kisha akaingia chumban kwa Carry baada ya kukaribishwa ,alimjulia hal Carry na kumuulza atatumia vitafunwa gan,Carry alijibu atakula chochote ,hivyo Alex alitoka kwenda kuandaa chai ,muda huo Carry aliutumia kufikiria atamuombaje Alex aweze kubak pale hata kwa siku kadhaa ,baada ya muda Alex alirud alimtaka Carry akaoge kisha aje kunywa chai Carry alifanya hivyo na baada ya muda wote walikuwa mezan ,Carry alishangaa ukubwa wa ile nyumba isitoshe Alex Alionekana ni kijana mdogo tu ,isingekuwa rahis kuwa na utajiri
"Hivi unaish na nan hapa?"Carry alivunja ukimya na kuamua kumuuliza Alex
"Naish peke ang,kwanini umeuliza hivyo,?"
"Amna nimeshangaa tu kuona nyumba kubwa halafu sion watu"
"Labda niishi na mrembo Carry "Alex aliongea huku akitabsam
"Mmmh ,wifi yangu yupo wap?"
"Hauna WiFi Carry ,n hivi unaish wap,una umr gan?,n una mishe gan?"
"Nna miaka 24 ,naish...kabla hajamaliza kuongea Carry alijihis kichechef alikimbia nje kutapika ,Alex alimfata na kumhudumia baad ya muda alimrudisha ndan kupumzka ,Carry alimuomba Alex aondke lkn Alex alisisitiza asubir apone kisha atamruhus kuondoka ,Carry hakumuweka waz Alex kam ni mjamzto hivyo alikaa kimya tu ili akae pale kwa siku kadhaa kabla Anapanga mikakat ya maisha yake.
*************************************************
Baada ya week mbili ,Carry alishazoea kukaa na Alex na walizoeana sana ,waliish kam kaka na dada ,Alex hakuwah kumtamkia Carry kam anampenda au la.
Siku hiyo mida ya saa 11 jion,Carry aliamua kwenda chumban kwa Alex kupekua pekua ajue Alex anafanya kaz gan maana alijaribu sana kumuuliza lakin hakuambiwa chochote .Alifungua droo za kabat ya nguo hakuona chochote cha tofaut ,alikagua sana lakn hakuambulia chochot ,ila alishtuka baada ya kuinua godoro ,alikuta bastola pamoja na pakt mbili za madawa ya kulevya alitamani kupiga kelele ila hakuwez kupiga kelele maana Alex alikuwa ameshafika na alikuwa kasimana mlangon akimtazama Carry.
"Unatafuta nini Carey ?"Alex alimuuliza kwa jazba sana huku akiwa amemshika Carry mkono wake
"Naomba unisamehe Alex ,amna nachokitfuta "Carry alijibu huku akilia kuomba msamaha
"Sijaweka mpelelez nyumban kwangu ,nlikusaidia tu Ila sikutegmea ungefanya ujinga wa namna hii,"kisha akamnasa kibao Carry akaangukia kitandan
"Nisamehe Alex "
"Nan amekutuma ufatilie maisha yang ?,sema haraka kabla cjakupasua hicho kichwa chako
Carry alijitetea sana lakin Alex hakuweza kumsikiliza ,Alex alianza kutoa mkanda wa surual ,kisha alimfata Carry pale kitandan na kutaka kumbaka ,
"Nisamehe Alex sitorudia tena ,usinfanyie unyama kama huu ,Alex nina mimba mim usinfnyie ukatil "Carry alizid kujitetea na kuhangaika kujinasua kwa Alex
"Ooh ,mwenye mimba ndo mzur ,hiv wewe malaya eee ,yan kumbe nimekusaidia wewe na hicho kijus tumbon halafu unanletea ujinga hapa,sasa leo utanjua sura yang halisi"Alex alimchania gaun Carry ,alibak uch ,hiyo ilizidisha matamanio kwa Alex na kuzid Kutaka kumbaka Carry ,Carry alipiga kelele sana Ila kutokana na ukubwa wa nyumba isingekuw rahis mtu yoyote kusikia zile kelele ,ila kabla Alex hajatimiza anachokitaka alisikia mtu akimuita seblen hvy alimuachia Carry na kujiweka vizur kisha alitoka seblen ,kwenda kuangalia ni nan anayemuita
"Ooh ,Edward karbu mshikaj "Alex alimkarbisha Eddy baada ya kumkuta seblen akimsubir
"Dah!mwanangu nmegonga sana nkaamua kuingia moja kwa moja ndan,halafu nmeingia ndan nakuita unankaushia"Edward alilalamika kwa Alex
"Nipo ndan na shemej yako nilikuw nmelala bhn"
"Mlete mke wetu ,nimuone bhasi "Edward aliweka utan ,lakin Alex aligoma kabisa,maan hakutakaEdward ajue kinachoendelea
"Sawa bhan nibanie kumuona shemej,but anyway me nimekuja kukuona maana tangu uondoke siku ile kwenye msiba gafla gafla hatujaonana tena ,"
"Aah siunajua majukum ,yan nilikuwa bize kwel ,nisamehe kwnza kwa kutokukaa had mwisho wa msiba"
"Usijal ,kila kitu kimeenda sawa na week ijayo nampeleka dogo South Africa Mzee kamtaftia chuo huko "
"Uende ukapate watoto wazur huko,maan wabongo wanazingua sikuhizi "
"Acha mambo yako Alex ,me kuna mwanamke nampenda ,nmempa no yang anitafute lakin mpka leo hajanitafuta ,mwez sasa umepita naona kimya tu,Alex alianza kumcheka Edward ,Ila kabla maongez yao hayajaendlea simu ya Edward iliita ,na alikuw mama yake Alimtaka aende nyumban .
Kumbe muda wanazungumza Carry alikuwa kajibanza anawasilikiza hakujua tena kama Alex yupo na Edward anayemtaka yeye,alikuwa ameshavaa nguo zingine ,alishika viatu mkonon,.Alex alvyotoka kumsindikiza Edward, Carry alitumia huo upenyo kutoka nje kupitia mlango wa nyuma .
Bahat ilkuwa kwake alifanikiwa kutoroka kutoka kwenye mikon ya Alex ,ila tatz hakujua aelekee wap aliwaza sana ila aliona afadhal ajitoe ufaham aende nyumban kwao ,maan hakuw na sehem nyngn ya kwenda .
Alifika nyumban kwao mida ya saa 3 kasoro aligonga mlango ,baada ya muda Leila alimfungulia mlango ,alifurah sana kumuona Dada yake maan hawakuonana muda mref ,kisha alimkarbisha ndan ,muda huo mama yao alikuwa amesindikiza wagen ila baada ya dk 5 aliingia mama mwenye nyumba na kumkuta Carry akiwa amekaa pale seblen na Leila
"Mbona upo peke yako?mjinga mwenzako yupo wap?"Carry alidakwa n hayo maswal kutoka kwa mama yake
"Shikamoo mama "badala ya kumjibu swal Carry aliona ni vyema akamsalmia kwanza
"Shika na ya kwako ,hiyo salam ingekuwa ya muhimu sana ingemleta mwenye hiyo mimba,nachokitaka ni majibu ya maswal yang tu "
"Lakin mama ungesubir nijieleze yaliyonitokea kwanza"
"Unieleze nin mjinga wewe ,kam hujaja na huyo mwanaume uondoke kwang sasahv nkifumba macho nkifumbua urud uko uko ulipotoka "Carry hakuwa na jinsi ilibd anyanyuke tu aanze kuondka ,Leila alimuonea huruma sana dada yake Ila hakuw na namna ya kumsaidia ,ila alimfata kabla hajafika mbal ,akampatia noti ya shilling elfu 10 ,ili imsaidie mbele ya safar ,Carry alilia sana alijiona kam ni yatima ,hakutegemea kam mama yake angemfukuza usiku ule .
ITAENDELEA .........
BAKI HAPA HAPA KWENYE APP YETU, MUITE NA MWINGINE.
Maoni
Chapisha Maoni