AKWELINA SEHEMU YA 9



AKWELINA

SEHEMU YA 9

Wanaume hao wakamnyanganya mtoto Monna alafu wakamuweka chini kisha wakamshika Monna wakamlaza chini wakamvua nguo, Kiongozi wao akasimama akafungua zipu ya suruali yake alafu akajiandaa kumuingilia Monna , Kiongozi wa vijana hao kabla hajamfikia Monna walisikia mngurumo wa gari, wakamziba mdomo Monna wakaingia nae ndani ya Pango wakamthibiti Monna vizuri, Gari lililofika eneo hilo lilikuwa limembeba Kakinga , Kakinga aliposhuka toka kwenye gari alianza kumwita Monna kwa sauti ya juu sana , Kakinga aliita kwa hisia na machungu makali lakini kimya kilizidi kutawala eneo hilo .

Kakinga alizidi kumwita Monna bila kuchoka kakinga alizunguka eneo kubwa katika eneo hilo la kutupia uchafu ( Jalalani ) bila mafanikio, wakati huo Monna alikuwa anamuona na anamsikia mume wake lakini hakuweza kumjibu kutokana na kuzibwa mdomo, Muda ulizidi kwenda Dereva aliyemsaidia kakinga alimfuata Kakinga akamwambia:

DEREVA: Tuondoke Kaka muda unazidi kwenda alafu hili gari sio langu kwahiyo nataka kurudisha gari ofisini vinginevyo nitapigwa faini .

KAKINGA: Kaka nivumilie kidogo nahisi mke wangu hayupo mbali na eneo hili naomba nivumilie kidogo??

DEREVA: Ndugu yangu kwa hali yeyote hakuna binadamu anaeweza akawa eneo hili labda mbwa na viumbe wengine wanaotembea usiku lakini si binadamu hebu angalia tumezunguka eneo kubwa tu lakini hakuna hata dalili ya kuwepo huyo Mke wako, Mimi naondoka Kaka niambie nikuache huku au tunarudi wote tulipotoka ?

Kakinga alifikiria sana kisha akamjibu Dereva: Wewe waweza kuondoka kaka lakini siwezi kuondoka eneo hili nahisi mke wangu yupo eneo hili, nashukuru kwa msaada wako kaka mungu akulipe.

Dereva alipanda kwenye Gari lake akawasha na kuondoka akamuacha Kakinga eneo hilo la kutupa takataka, baada ya Dereva kuondoka Kakinga nae akasogea upande wa pili wa eneo hilo, Vijana waliomkamata Monna walifurahi mno kiongozi wao akasema: Wajinga hawa badala ya kutupa takataka na kuondoka wanaanza kupotezeana muda tu pumbafu kabisa sasa vijana wangu Muda ndio huu kazi iendelee nitafaidi leo ????

Monna alipomuona Mume wake anaondoka aliishiwa nguvu Dereva aliyemsaidia akiwa anatoka eneo hilo alisikia sauti ya Mtoto akilia ikabidi asimame kisha akazima gari ili aisikie sauti hiyo ya Mtoto anaelia , Sauti ikasikika kwa mara ya pili Dereva akashuka chini akawasha taa na kuanza kuifuata sauti ya mtoto huyo. Baada ya kutafuta sana Dereva akafanikiwa kumuokota mtoto mdogo Dereva akarudi eneo alilomuacha Kakinga cha ajabu hakumuona Dereva akamwita Kakinga kwa bahati nzuri Kakinga hakuwa mbali na eneo hilo, Kakinga aliposikia anaitwa alimfuata Dereva alipofika Dereva akampatia Mtoto aliyemuokota alafu akasemwambia:

DEREVA: Huyo mtoto nimemuokota hapo nyuma sasa sijui kama unamfahamu ? Kwa maana uliniambia unamtafuta mke wako pamoja na mtoto mdogo .

Kakinga alimpokea mtoto haraka haraka akamtazama akamuona Akwelina, Kakinga hakuamini kama amempata mtoto Kakinga alimbusu akwelina na kumkumbatia alafu akasema : Ndio ndugu yangu mtoto huyu ni wangu na alikuwa na mama yake sasa sijui mke wangu ameuwawa masikini ??

Kakinga alishindwa kujiziwia baada ya kuhisi Monna huenda atakuwa ameshapoteza maisha , kakinga alipiga magoti akalia sana kwa uchungu, Monna alikuwa anamuona mume wake anavyoteseka kumtafuta roho ilimuuma sana Monna , Monna alipowaona vijana hao wameshangaa akatumia nafasi hiyo akarudisha kichwa chake nyuma ghafla kwakua vijana hao walikuwa wamezubaa Mk ono wa aliyemziba mdomo Monna ukatoka Monna akaita kwa sauti ya juu mno :

" KAKINGAAAAAAAAAA "

Sauti ya Monna ilimstua Kakinga pamoja na Dereva wakaanza kumtafuta Monna huku na huko Dereva akawasha tochi lake wakati anamoreka tochi lilimdondoka yule dereva alipoinama ili achukue tochi alihisi kuna kitu kitu upande wake wa kushoto yule dereva alisogea taratibu akiwa makini sana akaona pango dogo akamoreka ndani ya lile pango akamuona msichana mmoja akiwa ameshikwa na wanaume zaidi wanne yule dereva alimuita Kakinga, kakinga alipofika alimuona mke wake ameshikwa na wanaume wengi. Kakinga alishikwa na hasira akaingia ndani ya pango hilo akawapiga sana wale wahuni kwa hasira alizokuwa nazo kakinga alifunja mikono ya vijana hao na kuhitaji kuwauwa kabisa , yule Dereva akamziwia Kakinga Vijana hao wakakimbia .


ITAENDELEA........


TUPATIE NYOTA 5 KWENYE APP YETU KULE PLAY STORE NA KU COMMENT ILI TUPATE SUPPORT YAKO.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: BINAMU 🔞 SEHEMU YA 11

KIJIJINI KWA BIBI SEHEMU YA 1-5

CHOMBEZO: MASSAGE ROOM🔞 SEHEMU YA 21