NANI WA KULAUMIWA ? SEHEMU YA 18




Story: NANI WA KULAUMIWA ?

Mtunzi: HADIJA MGAZA

SEHEMU YA 18

Mi mwenzio nikajua pekeangu!

Yani mpaka nahisi , pengine anajua mahusiano yetu!

" sasa we unaogopa?

"Siogopi!

" sasa, we muache tu. Pengine amevurugwa,

"Labda ,

" sasa we mbona Leo mapema sana vipi?

"Yan salma , we acha tu,

" kunani?

"Nimerudi sina ada!

" mmmh..! Kwani mama si umemkuta?

"Ndio lakini amesema , hana pesa , na kasema hato nitolea tena!

" khaa..! Kwanini sasa?

"Sielewi kabisa hapa, nawaza kweli!

" pole , sasa unafanya je?

"Sijui!

" kwani inatakiwa sh ngapi?

"Ni nyingi!

" mmmh..! Na Mimi Nina hamsini tu!

"Usijari , kama IPO IPO , nakama nimeumbwa kwa ajili ya kusoma , Nitasoma !

" ni kweli , si kam Mimi , sijaumbiwa kusoma , nimeumbiwa ,kufanya kazi za ndani!

"Ndo hivyo tena, mi namsikilizia ,

" sawa

Maana nilikua naunguza hapa hapa!

"Ungejuta Leo, na mimi nisinge kutetea hata!

" subutu , ungeona ninacho taka kukufanyia!

"Unge Fanya nini?

" ukiniomba sikupi!

"Weee_Nani kasema

Yani uninyime Mimi!

Subutu!

" sasa unafikili mi natania ,

Nisinge kupa ng'oo!

Waliendelea kutaniana pale ,

Ilivyo fika mchana , salma alimpelekea yule mzee, chakura!

"Baba karibu chakura!

" asante , vipi mama yenu hajarudi?

"Ndio!

" aaaha..! Basi naomba uniitie shakimu mala moja !

"Sawa , lakini Leo hayupo sawa!

" amefanya nini?

"Amefukuzwa shule hana ada!

" khaa..! Kwani mama yake hakumwambia!?

"Amemwambia lakini. Mama amesema hato mtolea tena,

" huyu mwanamke ashaanza ushenzi!!

"Mmmh..! Kwanini baba!

" ha ha haakuna kitu. Nenda usije ukakutwa hapa!beba na hichi chakura "

"Sasa kwanini baba!

" we nenda tu!

Salma alikua anawaza ,

Aliondoka na kuingia ndani

"We vipi mbona umepoa;?

" hakuna kitu,

"Na chakura vipi?

" hajisikii kura!

"Huyu mzee buana , yani akiisha vurugana na mama basi,

Sijui kunanini hapa!

" kwani vipi , au wanajuana ?

"Mi najua basi!

Sielewi chochote,

Aaah..

Hembu lete hicho chakura!

Nimpelekee!

Shakimu alichukua chakura na kuondoka!

" mmmh..! Mbona sielewi,

Kwanini shakimu aumie hivi,

Au kunauhusiano, ananificha?

Mmmh ...!

Ila haya nihusu haya ,

Salma aliwaza mwenyewe!

"Mzee mbona umekataa chakura?

" nimeshiba!

"Umekura nini?

" nimeshiba mwanangu !

"Sawa kama unanidanga sawa!

" wala sikudanganyi!

"Vipi leo mbona mapema umerudi;

" ada imeisha na mama kasema hana pesa!

"Hana pesa?

" ndio. Na kasema hata toa tena!

"Kwanini wakati wewe ndo.........!

" ndo nini?

"Aaaha hakuna kitu,

Ila najiuliza ni kwanini hakulipii ada ,wakati wewe ni mwanawe!

" nashangaa sana , yani amebadilika sana , simuelewi!

"Mmmh...!

" mbona unaguna!

"Hakuna kitu;

" yani mzee we una mambo sana , hivi kuna kitu gani unanificha!?

"Shakimu. Buana , hembu achana na hayo mambo,

Ila kunakitu nataka kukuuliza!

" uliza!

"Ulienda wapi asubuhi na mama yako?

" hahahaha!.

Baba buana, sasa we unataka kujua ili iweje?

"Kwani kuna ubaya , Mimi ni kama baba yako, kwanini nisikuulize?

" najua hilo mzee wangu , wewe nakuona kama baba kwangu,

Kwasababu simjui baba!

Nitakwambia tumeenda wapi!

"Nambie!!

" mama amenipeleka sehemu moja , yani kama ni ofisini,

"Eeehe ! Ikawaje?

" mmmh..mbona unaharaka hivyo?

"Basi nambie, mwishowe ukutwe hapa!

" sawa , nimeenda huko , nikakabiziwa karatasi ambayo haina kitunikasaini!?

"nini!?

Baba alisimama na kushika kichwa!

" jamani mbona umenitisha vipi

"Mungu wangu!

Kwaiyo umesaini kabisaaaa,

Hukuuliza ya nini?

" nimeuliza lakini , niliambiwa kua kunakitu anataka kunichukulia !

"Tumekwishaaaa!!!!!

Hiviii, daah...; yani shakimu

Umefanya kosa kubwa sana ..!

ITAENDELEA.......


BAKI HAPA HAPA KWENYE APP YETU, MUITE NA MWINGINE.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: BINAMU 🔞 SEHEMU YA 11

KIJIJINI KWA BIBI SEHEMU YA 1-5

CHOMBEZO: MASSAGE ROOM🔞 SEHEMU YA 21