MCHORA KUCHA PART 07

 


MCHORA KUCHA


MTUNZI:McLAURIAN


PART:07


ILIPOISHIA,


Noel akiwa amejawa na hasira,anazama 

chumbani na kumkuta mrembo mkali

kweli kweli akiwa anamsuka mkewake...


SONGANAYO...


Mr.Kucha ambaye alikuwa amerembwa 

kweli kweli,alilegeza shingo na macho yake hali

iliyomfanya aonekane pisi kali ya hatari japo

mapigo ya moyo wake yalianza kwenda kasi

sana.


"Shemu karibu...." Mr.Kucha kwa sauti ya kirembo alimwambia Noel huku akitaka kunyanyuka kitandani hapo.


"Kaa tu wala haina shida.Waitwa nani?"

Alimuuliza.


Kabla ya kujibu,Lisa alidakia,

"'Anaitwa Mwajuma ni ndugu yangu wa mama

mdogo ambaye amekuja kunipaka kampani

maana naogopa kulala peke yangu.."Lisa

aliongea.


Baada ya kuambiwa hivo,Noel alijifanya

anafungu akabati kisha akazama chooni lakini

hakuweza kuona chochote.

Aliinama mpaka uvunguni mwa kitanda ndipo Lisaa lipomuuliza,


"'Mme wangu unaangalia nini?"


"'Kuna kiatu changu kimoja sikioni sijui kiko wapi?,..alimjibu.


Wakati mazungumzo yanaendelea,Mr.Kucha 

aliendelea kurembua kwelikweli huku akiwa

hajui kama kashagundulika au laa.


"Habari ya huko nyumbani"..Noela alimuambia Mr.Kucha huku akiwa anamuangalia kwa jicho

la chongo.


"'Ni nzuri shemu pole na majukumu.."akiwa

amebinua midomo, Mr.Kucha(Mwajuma)aliitikia


"'Asante hapa una muda gani toka umefika.?"

Alimuuliza.


Baada ya kuulizwa hivo,Mr.Kucha alihisi kama

roho yake inachomolewa mara baada ya kuhisi

siri kufichuka.

"Nina kama siku 4 hivi..'"alijibu kwa wasiwasi


"'Kweli shemu au unanidanganya...:"


"'Ni kweli..."Mr.Kucha alijibu kwa tabasamu ya

uongo.


"'Kwanini unamuuliza hivo na wewe mme wangu?,"Lisa alidakia huku akiomba sana.


"'Kwani kuna ubaya gani?"


"'Ayaa bwana..."


Baada ya muda mfupi, Noel alitoka chumbani

humo huku akiwa haamini mpaka nje ya

nyumba nakuendelea na msako.

Alisaka kila sehemu lakini wapi ndipo

alipojisemea,


"'Huyu Fetty popote pale nitakapokutana naye

atanilipa gharama za muda wangu.Yaani kaniamsha usiku wa manane kumbe hamna

kitu!,labda nisimuone.."



Wakati anaongea peke yake kwa nje, Mr.Kucha

alichungulia huku na kule kishaa kamwambia

Lisa,


"'Naomba unisaidie maana tayari kashanigundua hivo ataniua...huuu..!"


"'We bado hajagundua na unataka ufanyeje sasa?"


"'Nataka nitoroke.."


"'Hapan autajitafutia matatizo lakini pia nami

utaniweka matatizoni.Ninavyomjua Noel

asingegundua afu akakaa kimya.


"Huo ni mtego kaniwekea nakwambia..."


"Tulia tena utakaa hata wiki nyumbani..."


Mr.Kuchaa lijikuta anakuwa mdogo gafla kama

piriton huku akiendelea na shughuli nzima ya

kumsuka Lisa.


Akiwa anaendelea, Noel aliingia chumbani

humo,Ndipo walipoinuka nakutaka kwenda

sebureni.


"Mnaenda wapi?"Noel aliwauliza


"Shemu tunanda sebuleni tukuache upumzike"

Mr.Kucha aliongea.


"Ohh sawa haina shida hata ukitaka kubaki

hapa."Alijibu Noel


Mr.Kucha kwa uangalifu mkubwa,aliinuka

taratibu huku Noel akiwa anashangaa wowowo

la Mr.Kucha lililokuwa kwenye dera huku kifua

chuchu saa sita zikichomoza.

Mwonekano wa Mwajuma(Mr.Kucha)

ulimuacha Noel njia panda mpaka akajukuta

anameza mate bila sababu.


Wawili hao hatimaye walifika sebuleni ndipo Mr. Kuchaa lipokimbilia mlangoni ilia kimbie lakini cha kushangaza alikuta mlango umefungwa..

"Looo!! MyGod,sina ujanja tena"aliongea kinyonge


"We mbona husikii!, unataka kuleta matatizo nyumbani!,nimekwambia tulia afu kuwa makini

na sauti yako pamoja na wigi.."Lisa

alimwambia Mr.Kucha.

Alikaa kwenye sofa kisha akaendele akumsuka,

Lisa.


Akiwa kitandani amejilaza,Noel aliona sisimizi

wakiwa wanaongozana kwa mstari kama

wakujiandikisha NIDA ndipo aliposhituka.


Aliamka gafla na kuangalia ndipo alipowakuta

wamejirundika sehemu moja kama nyuki

waliokosa mzinga huku wakiwa wanashambulia

vitu ambavyo  vilikuwa vinafanana kama uji wa

mgando wa muhogo au kamasi zito lamtu

mwenye kikohozi kilichoanza kuoza.


"'Hee!, mambo gani haya!,inamaana walikuwa

wanaji.. wenyewe! Au ni kohozi tu.."


Noel alisogea karibu na kuwafukuza sisimizi

hao lakini alishindwa kutofautisha kwani vitu

hivyo vilikuwa vimeanza kukauka kwambali.


"'Asingekuwepo shemeji leo angeniambia huu

uchafu wa aina hii chanzo ni nini..."


Noel aliongea kishaa kachomoa shuka zima.

Baada ya kuchomoa shuka,alishangaa kuona

godoro likiwa limechorwa ramani ya Afrika

ndipo alipoinamana kunusa kwambali huku

akihisi ni mk**jo lakini harufu haikuwa hivo.


Alibaki na maswali mengi kichwani mwake

ambayo hayakuwa na majibu kwa wakati huo.


Alitupa shuka hilo chafu kwenye nguo za Lisa

kama adhabu ya kutofanya usafi kisha akajilaza.



Baada ya muda mfupi huku akiwaameanza

kupitiwa na usingizi,simu yake iliita ndipo

alipoipokea.


"'We nani?"Noel aliuliza kisha simu ikakatwa.


Baada ya muda mfupi meseji iliingia,


"Ni mimi Fetty nilikuwa nakuuliza kuwa

ushafika?"


"Unataka nini?!"Noel alimjibu huku akiwa

amekunjauso


"Jamani mbona unanijibu hivo?!"


"'Sitaki tena ujinga wako!,naomba

tuheshimiane!, yaani unaniharibia kazi zangu

kwa uongo na upuuzi wako..."


"Naapa tena Naapa Nimewaona na bado yumo

ndani maana tangu asubuhi nimekuwa

nikichungulia..."


"'Ebu katafute kazi ya kufanya.Nina hasira sana nawewe...acha kunichokoza na usirudie tena siku nyingine" Noel alituma meseji hiyo kisha

akazima simu kwa hasira.



Fetty baada ya kujibiwa hivo,alibaki na

mshangao mkubwa huku akiwa hajui nini

kinaendelea,


"'Hee! ina maana anadhani namdanganya au?,

ngoja niende tuone kama hatomuona"


alijisemeakisha akaanza kupiga hatua kuelekea

kwa Noel.



Baadaya kuukosa usingizi,Noel aliamkakisha

akamkuta Lisa akiwa anaangalia TV nashemeji

(Mr.Kucha).


"'Ohh shemu kumbe unajua kusuka vizuri hivi.."


"Najaribu shemu.."akiwa anarembua alimjibu

Noel.


"Ohh, unatumia kinywaji gani?"Alimuuliza.


"Natumia soda pepsi na maji"


"Ebu kamfatie mgeni soda pamoja na mboga.."

Noel alimpatia Lisa kiasi cha pesa kisha

akatoka nje kufata vitu hivyo.


Bila kuchelewa,Noel alifunga mlango kisha

akamsogelea Mwajuma(Mr.kucha).


"Shemu nimekuletea zawadi yako..." alimwambia huku akiwa amamsogelea

kwa ukaribu.


"'Iko wapi hiyo"kwa sauti laini sana,Mr.kucha

alijibu.


"Njoo chumbani nikuoneshe..."


"'Mhhh...naogopa dada asije nikutah uko"Mr. Kucha akiwa anatetemeka alijibu.


"Hapana ameenda mbali kidogo afu mlango

umefungwa. Kwani unaogopa nini"Noel

alimvuta Mr.Kucha naye akalazimika kuwa mlaini.

"'Shemu hapana niletee hapa..."


"Ebu njoo bwana..."alimvuta kisha akaingia

naye chumbani huku Mr.Kucha akiwa haamini

kabisa........


JE ILIKUWAJE?


   ITAENDELEA..........


BAKI HAPA HAPA KWENYE APP YETU

      










Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: BINAMU 🔞 SEHEMU YA 11

KIJIJINI KWA BIBI SEHEMU YA 1-5

CHOMBEZO: MASSAGE ROOM🔞 SEHEMU YA 21