MCHORA KUCHA PART 05



 MCHORA KUCHA


MTUNZI:McLAURIAN


PART:05


ILIPOISHIA,


Aliangalia namba hiyo ambayo ilikuwangeni

ndipo alipobaki njia panda kati ya kuipokea au

la...

SONGANAYO..


Noel aliweka simu chini huku akiwa anawaza 

ndipo simu ilipoka tayenyewe.

"'Kwanini hapokei simu?" Fetty alijisemea 

mwenyewe kwa uchungu mkubwa.

Alimpigia tena kwama ranyingine lakini simu

ilizidi kuita kwa muda mrefu.


Uso wake ulijikunja huku akiwa amesubiria

simu ipokelewe.

Noel kwama ranyingine alisikia mlio wasimu

ukiunguruma ndipo alipoishikakisha akasema,

"'Nani huyu anapiga simu muda huu!?"aliongea

kwa hasira kwani alikuwa amechoka.

Alipokea simu huku akiwa na shauku yakujua ni

nani anapiga usiku huo na kuna shida gani ?'



"Heloo..."aliipokea..


"'Mambo..." Fetty aliitikia.


"'Safii sorry naongea na nani?" Alimuuliza.


"Jamani hujanifahamu mpaka muda huu!"


"'Sijakufahamu maana imekuja namba ngeni...:"


"Ohh ni mimi Fetty"..


"'Ohh sawa vipi."



"Salama za wewe..."


"'Nzuri nambie maana umenishutua kweli.."


"'Poa tu uko nyumbani?"


"'Mbona waniuliza hivo?


"'Nauliza tu ebu niambie upo nyumbani?"


"Hapana niko Tanga kikazi hii ni wiki ya 3 sasa"


"'Mhhh mbona kama nimekuona nyumbani 

kwako?"


"'Saa ngapi na lini hiyo?"


"'Mida ya jioni..."


"'Hapana sipo nyumbani kwani kuna nini?"


"'Daah nashindwa hadi nianzie wapi..."


"Nini?"


"Hivi kweli haupo nyumbani..?"


"'Sipo nyumbani mbona unanilazimisha nikujibu uongo""


"Basi poa lakini.. mmh..!"


"'Mbona waguna?"


"Yaani nashindwa hata kuamini.."


"'Ebu sema shida yako maana nataka kulala

kesho naamkia kazini.."


"Kwahiyo sasa Mke wako kaolewa Mme

mwingine?"


"'Hee! Unamaanisha nini!"


"'Hivohivo nilivyosikia.."


"'Kwamba ameolewa?"


"'Ndiyo maana nimemuona naye nikadhani ni

wewe afu yaani anampigisha kelele mpaka

majirani hatulali yaanin."


"'Unaongea ukweli!.."


"Ndiyo hata ukija muda huu utamkuta naye ndani

.."



Baada ya kuambiwa hivyo,Noel alikata simu kwa

hasira kali kishaa kainamisha kichwa chini.

Usiku huohuo,aliandika barua ya dharura

ambayo iliituma kwa njia ya email ilikupata

likizo ya siku 3.

Kijasho chembamba kilimtoka huku akiwa

anaongea peke yake,


"'Kama ni kweli!..kama ni kweli!,basi wote

utakuwa mwisho wao wakuliona jua hapa

duniani"


Alifungasha nguo zake kwenye kibegi chake

kisha akalala lakini usingizi hakuupata.

Kwa mara ya kwanza,Noel alianza kulia peke

yake tena kwa hasira mithili ya mtoto mchanga aliyenyimwa nyonyo.


Asubuhi na mapema, Noel ombi lake lalikizo ya dharura ya siku 3,lilipita ndipo alipoanza safari ya kwenda stendi kuu ya mabasi Tanga.

Alipo karibia stendi,alinunua kisu kikali sana

kisha akakifunga vizuri na kukiweka kwenye

kibegichake.

Mnamo mida ya saa 2 ya asubuhi,safari ya

Tanga to Dar ilianza huku Noel akiwana hasira

mpaka anatetemeka.


Huko nyumbani kwa Lisa,mahaba yalizidi kupamba moto mara baada ya kuonja sukari

tamu ya Mr.Kucha mpaka wakawa wanashindawa kulala muda wote kwani hela ilikuwepo.


Mnamo mida ya saa 4za asubuhi,Fetty

alisogea mdogo mdogo mpaka kwa Lisa kisha akatega masikio yake mawili ndipo kwa mbali

aliposikia kama kuna watu wanaongea.



"Kumbe bado yupo!" Alijisemeakisha akashika

simu yake na kumuandikia Noel meseji,


"'Kama utaweza panda gari binafsi maana muda

huu bado yupo wana....."Noel alisoma meseji hiyo kisha chozi likamtoka


ndipo mtoto aliyekuwa amekaa na mama yake

pembeni mwa Noel alipomtizama kisha

akasema,


"'Mama!..mama"mtoto alimuita mama yake.


"Nini wewe mtoto?"Mama alimjibu.


"Baba huyu lia..,lia baba"


Maneno hayo aliyasikia Noel ndipo alipojikaza ili kutuliza huzuni ya mtoto huyo huku akijifanya

mdudu kamuingia jichoni.


Hayawihayawi sasa yalikuwa marabaada ya

safari ya masaa kadhaa kufikia tamati na Noel kushuka.

Alipandabajajikishaikampelekampaka

nyumbani.


Mdahuo Mr.Kucha alikuwaa nacheza mziki

huku wakiwa wanabambiana chumbani kwa

mdundo wa bufa kali ya LG watt3000.

Noel alifika getini kimya kimya na bahati nzuri

alikuta mlango wa geti uko wazi.

Aliusukuma mlango taratibu kisha akaingia

ndani.


Alichomoa kisu chake kwa hasira kali kisha

akakichoma chini kwenye udongo kisha

akakichomoa na kupiga hatua.

Taratibu alipiga hatua chache kisha akafika

mlangoni naku...


JE ILIKUWAJE?


ATAPONA MTU AU HAPONI?



ITAENDELEA......


BAKI HAPA HAPA KWENYE APP YETU






Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: BINAMU 🔞 SEHEMU YA 11

KIJIJINI KWA BIBI SEHEMU YA 1-5

CHOMBEZO: MASSAGE ROOM🔞 SEHEMU YA 21